Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Kimanta amewashauri wananchi wa Mkoa wa Arusha kutoa ushirikiano kwa timu ya mpira wa miguu ya Mko (Arusha Football Club,AFC), kwa kuwa wadhamini na kuiwezesha timu hiyo kuweza kusonga mbele katika ligi mbalimbali.
Ameyasema hayo alipokuwa akishuhudia makabidhiano ya hundi ya shilingi Milioni 24 kutoka kwa wadhamini wapya kampuni ya Mineral Oil Corporation Limited.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa