• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ENDELEENI KUDUMISHA AMANI,UPENDO NA MSHIKAMANO

Posted on: August 20th, 2020

“Nendeni mkawe chachu ya kujenga amani na upendo miongoni mwenu na hata kwa nchi pia.”

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta alipokuwa akifunga Mkutano wa 44 wa Kitaifa wa viongozi wa kanisa la wabaptist Tanzania, jijini Arusha.

Amesema kanisa lina mchango mkubwa sana wa kuleta amani, umoja na mshikamano miongoni mwao na nchi kwa ujumla kwani wao kama viongozi wa kanisa hilo wanahudumia waumini wengi.

Amewataka viongozi hao wakawe mstari wa mbele katika kulikuza kanisa hilo kwani yote waliyojadiliwa hapo ni maagano wameweka baina yao na mwenyezi Mungu.

Wajibu wao mkubwa ni kwenda kuwatumikia waumini wao lakini na Mungu pia.

Aidha, amesema serikali inatambua sana mchango unaotolewa na makanisa katika kujenga nchi hasa kwa kuleta amani na upendo miongoni mwa waumini.

Pia, amewashukuru viongozi hao kwa mchango mkubwa unaotolewa na kanisa hilo kwenye shughuli za maendeleo hasa kwenye sekta ya elimu na afya.

Nae, Baba askofu wa kanisa la Baptist Tanzania Arnold Manase Mollel, amesema kanisa hilo linatambua mchango na juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano na hivyo wataendelea kutoa ushirikiano katika kuleta maendeleo ya nchi.

Aidha, amesema kanisa hilo limekuwa likifundisha amani,upendo na mshikamano kwa waumini wake na litaendelea kufanya hivyo.

Mkutano huo umewakutanisha viongozi mbalimbali kutoka katika kanda zote 8 za kanisa hilo zilizopo nchini, na limetimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • MATOKEA YA DARASA LA SABA 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KUSANYENI KODI-RC KIMANTA

    January 21, 2021
  • SITAKI UFAULU WA DARAJA LA ZERO MKOANI KWANGU

    January 08, 2021
  • RC KIMANTA, BEBENI SIFA YA NCHI ZAIDI KULIKO BINAFSI

    December 19, 2020
  • WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

    December 19, 2020
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa