• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAFANYENI KAZI KWA BIDII MKIMTANGULIZA MUNGU

Posted on: September 19th, 2020

Viongozi wa dini wameshauriwa kufanya kazi kwa bidii huku wakisimamia maadili ya utumishi wa Mungu.

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Idd Kimanta alipokuwa akishuhudia kuapishwa kwa askofu msaidizi wa kanisa la Free Pantegoste Church of Tanzania (FPCT).

Amewashauri viongozi hao wakawatumikie waumini wao kwa kuwajibika ili kujenga umoja na mshikamano wa kanisa hilo.

Kimanta amesema, hakuna maendeleo yanayoletwa bila kuwa na amani, umoja na mshikamano hivyo viongozi hao wapya wakadumishe hayo kwa ustawi wa Mkoa.

Askofu Mkuu wa kanisa la FPCT Robert Steven Mulenga,amewata viongozi hao wapya wakafanye kazi kwa ushirikiano wa karibu na  viongozi wa serikali.

Akisoma historia fupi ya kanisa hilo askafu wa jimbo la Arusha Ayubu Muna amesema,kanisa hilo mpaka sasa limeshatimiza miaka 62 tokea kuanziashwa kwake Mkoani Arusha.

Hata hivyo kanisa hilo lina jumla ya matawi 361 kwa nchi nzima na zaidi ya waumini 20,000.

Kanisa la FPCT limewasimika viongozi wake katika nyazifa mbalimbali ili kuendelea kuliongoza kanisa hilo katika maadili na utaratibu wake.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • MATOKEA YA DARASA LA SABA 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KUSANYENI KODI-RC KIMANTA

    January 21, 2021
  • SITAKI UFAULU WA DARAJA LA ZERO MKOANI KWANGU

    January 08, 2021
  • RC KIMANTA, BEBENI SIFA YA NCHI ZAIDI KULIKO BINAFSI

    December 19, 2020
  • WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

    December 19, 2020
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa