• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KIASI CHA BILIONI 263.2 ZAPITISHWA KWA MATUMIZI YA MWAKA 2019/2020

Posted on: March 23rd, 2019

Kamati ya ushauri ya Mkoa wa Arusha umepitisha mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya kiasi cha shilingi bilioni 263.2 kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo  mishahara ya watumishi na mambo ya maendeleo .

Akifungua kikao hicho mwenyekiti wa kamati hiyo ambae pia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema, bajeti hiyo itatekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi.

Amezitaka halmashauri zote zihakikishe zinasimamia fedha hizo za miradi ya maendeleo kupitia kwa viongozi wa Wilaya na Halmashauri, na hii itasaidia kuondoa hadha kubwa kwa wananchi.

Akisoma taarifa ya mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2019/2020 Katibu Tawala msaidizi mipango na uratibu Moses Mabula amesema bajeti hiyo imezingatia vipaombele mbalimbali vya Mkoa.

Vipaombele hivyo vilivyopendekezwa kwa mwaka 2019/2020 kwa Mkoa wa Arusha ni pamoja na kuongeza uhakika wa chakula na kipato kwa wananchi,kuboresha mazingira ya utoaji wa elimu kwa kutekeleza mpango wa elimu bure.

Kuboresha huduma za afya kwa kuendelea kujenga vituo vya afya na hospitali za Wilaya,kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kutoka 55% kwa mjini na 70% kwa vijijini,kumalizia miradi yote ambayo hakuisha katika sekta zote.

Pia,kuweka mazingira bora ya uwekezaji katika viwanda,kuboresha sekta ya Utalii kwa utoaji wa huduma bora,kuongeza ukusanyaji wa mapato na udhibiti na kusimamia uchanguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Kamati ya ushauri ya Mkoa imekutana kwa lengo kubwa la kupitisha mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka mpya wa fedha 2019/2020 ambao utaanza rasmi Julai 2019 na kipaombele kikuwa ni kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo katika Mkoa.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • MATOKEA YA DARASA LA SABA 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SITAKI UFAULU WA DARAJA LA ZERO MKOANI KWANGU

    January 08, 2021
  • RC KIMANTA, BEBENI SIFA YA NCHI ZAIDI KULIKO BINAFSI

    December 19, 2020
  • WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

    December 19, 2020
  • CHANGIENI TIMU YA MKOA

    December 17, 2020
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa