• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MAZISHI YA MAREHEMU RICHARD KWITEGA

Posted on: February 7th, 2021

Maelfu ya waombolezaji waliohudhuri kwenye misaa takatifu ya kuaga pamoja na mazishi ya aliyekuwa Katibu Tawala wa mkoawa Arusha, marehemu Richard Kwitega, wameelezwa maisha aliyoishi marehemu Kwitega ni ya ushuhuda kwa wengine, kifo chake kiwe funzo katika maisha ya kila mtu.


Akizungumza wakati wa kutoa salamu zake za pole, Naibu Waziri OR -TAMISEMI, mheshimiwa David Silinde, amesema kuwa maisha aliyoyaishi marehemu Kwitega ni maisha ya ushuhuda wa matendo yamayopaswa kufanywa na mtumishi wa Umma katika kutumikia wananchi pindi anapoaminiwa na serikali ma kupata madaraka ya kuwaongoza wengene pamoja na kuwatumikia wananachi.


"Kagika kipindi cha uhai wake na utumishi wake, mraehemu Richard aliwekeza katika utu, uzalendo na uadilifu, jambo linalotakiwa kufanywa na mtumishi wa Umama aliyepewa madaraka ya kuongoza na kuwatumikia wananchi, hivyo viongozi tuliopewa dhamana ya kuwatumikia wengine, niwajibu wetu kutenda kwa tunaowatumikia" amesisistiza Naibu Waziri Silinde.


Naye Mhashamu Askofu wa Jimbo la Geita, mhasham Askofu Flavian Kasala, amemuelezea marehemu Kwitega kuwa, aliishi maisha ya kujitoa kwa ajili ya wengine, na kuthibitisha kuwa ana heri anayetenda matendo ya imani ya kujitoa kwa ajili ya wengine na huu ni ushuhuda wa maisha ya marehemu Kwitega kwa kanisa, jamii na serikali aliyokuwa anaitumikia.


Mkuu wa mkao wa Arusha Mheshimiwa Idd Kimanta, amesema Serikali imepoteza mtu muhimu, hususani katika mkoa wa Arusha, mtu aliyependa kuwatumikia wananchi, aliyekuwa kiongozi alitekeleza majukumu yake kwa weledi mkubwa akijikita katika ubobevu wake katika masuala ya utawala.


Katibu Tawala wilaya ya Monduli, Robart Siankeni, amesema kuwa tutamuenzi marehemu Kwitega, namna ya kusimamia utawala bora na wajibikaji katika kuwatumikia wananchi, umuhimu wa kutekeleza mipango ya serikali kwa kusimamia miradi ya maendeleo, kubuni vyanzo vya mapato, kuchochea sekta ya utalii mkoani Arusha na pamoja na kusimamia amani na utulivu.


Naye mwakilishi wa famili, na Kagibu wa Rais, Ngusa Samike, amesema kuwa familia inamshuku Mungu kwa zawadi ya maisha ya marehemu Kwitega, alikuwa ni kiongozi wa familia, jamii na kuwa maisha yake yote aliishi kwa kuwatumikia watu.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUMIENI ARDHI KWA MAENDELEO YENU-RC KIMANTA

    February 26, 2021
  • NZIGE WADHIBITIWA KWA ZAIDI YA 70% WILAYANI LONGIDO

    February 25, 2021
  • MWALIMU MKUU AVULIWA MADARAKA

    February 19, 2021
  • WATAKAOHUJUMU MIUNDOMBINU YA MAJI KUKIONA-JUMAA UWESO

    February 17, 2021
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa