Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi H. Kimanta akipokea vifaa Tiba kutoka kwa askofu wa kabisa la Calval Assemblies of God Tifan Homan la Jijini Arusha.
Vifaa hivyo vimetolewa kwa ajili ya kusaidia katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mt.Meru na vimegharimu zaidi ya Milioni 2.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa