• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC-KIMANTA AZINDUA KITABU CHA SERA NA MIONGOZO YA ULINZI WA MTOTO

Posted on: October 3rd, 2020

Wazazi na walenzi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia Sera na Miongozo ya ulinzi wa watoto ili kujenga kizazi kinachojiamini na kujitambua katika ujenzi wa Taifa letu.

Ameyasema hayo Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta alipokuwa akizindua kitabu cha Sera na Miongozo ya ulinzi wa watoto cha kanisa Katoriki la Arusha,katika kanisa la Mtakatifu Theresia, jijini Arusha.

Amesema jukumu kubwa la kumlinda mtoto linaanzia katika ngazi ya familia,hivyo wazazi ndio wenye jukumu kubwa sana la kuhakikisha watoto wao wanakuwa katika mazingira yenye usalama.

Kimanta amesema, kwa kufanya hivyo tutakuwa na taifa lenye watoto wanaojitambua,kujiamini na watakuwa na uwezo mkubwa wa kujielezea jambo lolote hususani hata wakifanyia ukatiri.

Juhudi zilizoonyeshwa na Kanisa hilo hazina budi kuungwa mkono na serikali kwani kwa kufanya hivyo ni kizazi kikubwa kitakombolewa.

Aidha, amewataka waumini wote wa Kanisa Katoriki kuunga mkono juhudi hizo kwa kuhakikisha Sera hiyo ya ulinzi wa mtoto inatekelezeka kuanzia katika ngazi ya familia hadi Taifa kwa ujumla.

Amesema moja ya changamoto ambayo inayowaathiri watoto kwa kiwango kikubwa ni mafarakano ya wazazi katika ndoa, hivyo kupelekea  wahanga wakubwa kuwa ni watoto.

Nae, Mhashamu Askofu Mkuu wa Jimbo Katoriki la Arusha Isaac Amani amesema, watoto wanahaki ya kutunzwa, kuthaminiwa na kupendwa kwani wanaitaji kuelekezwa ni kwa namna gani wanaweza kukabiliana na changamoto zao.

Amesema amani yetu katika nchi ndio nguzo inayosaidia kuweza kuwalea watoto katika mazingira ya amani na utulivu.

Amesisitiza kuwa kuanzi sasa watumishi wote wa katisa Katoriki la Arusha wanaoshughulika na maswala ya watoto watatakiwa kisaini makubaliano ya namna ya kuitekeleza Sera hiyo katika maeneo yao ya kazi, ili kuhakikisha Sera hiyo inafanya kazi kama ilivyokusudiwa.

Akielezea malengo ya Sera hiyo Mratibu wa maandalizi ya uundwaji wa Sera na miongozo hiyo Padre Dennis Ombeni Ngowi amesema, Sera na miongozo hiyo ni kwa ajili ya kumlinda mtoto.

Pia, kuweka mazingira bora ya malezi kwa mtoto, kutoa miongozo ya namna ya kukabiliana na manyanyaso kwa watoto katika hatua zao mbalimbali za makuzi.

Amesema Sera hiyo itasaidia kuweka mazingira mazuri ya upatanishi katika changamoto mbalimbali zinazowakumba watoto.

Kanisa Katoriki jimbo kuu la Arusha, limezindua Sera na miongozo ya ulinzi wa mtoto baada ya kubaini kuwa watoto wengi wanapitia manyanyasa na ukatiri bila jamii kuwa na uwelewa mpana.

 

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • MATOKEA YA DARASA LA SABA 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KUSANYENI KODI-RC KIMANTA

    January 21, 2021
  • SITAKI UFAULU WA DARAJA LA ZERO MKOANI KWANGU

    January 08, 2021
  • RC KIMANTA, BEBENI SIFA YA NCHI ZAIDI KULIKO BINAFSI

    December 19, 2020
  • WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

    December 19, 2020
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa