• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TANZANIA NA KENYA KUSHIRIKI KATIKA ZOEZI LA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

Posted on: May 15th, 2019

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha ameitaka timu ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kushiriki kikamilifu katika zoezi la majaribio ya namna watakavyokabiliana na magonjwa hayo hasa maeneo ya mipakani.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua kikao cha kutambulisha zoezi la jaribio la namna yakukabiliana na magonjwa ya mlipuko katika wilaya ya Longido hususani eneo la mpaka wa Namanga na nchi jirani ya Kenya.

Amesisitiza zaidi kuwa zoezi hili nila muhimu sana kwa nchi hizi mbili kwani katika mipaka hiyo ni lango kubwa la wageni wengi kuingi na kutoka na hii itasaidi kuweza kupata uzoefu wakutosha wa namna ya kukabiliana na magonjwa hayo pindi yatakapotokea.

Akitoa maelezo mafupi ya zoezi hili mratibu wa magonjwa ya milipuko kutoka wizara ya afya,Jinsia, Wazee na Watoto Dokta Emmanuel Swai, amesema lengo kubwa la zoezi hilo linalotarajiwa kuanza Juni 11 hadi 14,2019 ni kuziimarisha timu hizo mbili za Tanzania na Kenya katika kukabiliana na magojwa hayo.

Pia,zoezi hili litasaidia kuchambua na kuainisha mapungufu ya mifumo ya miongozo na sheria ambazo hazitakuwa vizuri kulingana na mzingira ya sasa ya ufanyaji kazi. Amesema zoezi hili litafanyika katika maeneo ya mpaka wa Namanga (Kituo cha Forodha) na viwanja vya ndege vya Kilimanjaro na Jomo Kenyata na katika maeneo hayo shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida kwani zoezi hili halita adhiri watu na shughuli zao.

Mafunzo haya ya namna ya kukabiliana na magonjwa ya mlipuko yalianza 2018 kwa washiriki kufundishwa darasani na sasa watafundishwa kwa vitendo zaidi ili waweze kukuza uwelewa wao na jumla ya washiriki ya 65 kutoka katika kila nchi watashiriki.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • MATOKEA YA DARASA LA SABA 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KUSANYENI KODI-RC KIMANTA

    January 21, 2021
  • SITAKI UFAULU WA DARAJA LA ZERO MKOANI KWANGU

    January 08, 2021
  • RC KIMANTA, BEBENI SIFA YA NCHI ZAIDI KULIKO BINAFSI

    December 19, 2020
  • WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

    December 19, 2020
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa