Taasis ya Mwalimu Nyerere yatoa mafunzo kwa watumishi na viongozi wa Mkoa wa Arusha juu ya Uongozi bora, Ujamaa na Kujitegemea.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasis ya Mwalimu Nyerere Joseph Butiku akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wengine wa taasis hiyo na viongozi wa Halmashauri za Mkoa wa Arusha, baada ya kumaliza kikao kazi.
Baadhi ya Viongozi wa Mkoa wa Arusha pamoja na watendaji wa Mkoa wa Arusha, wakimsikiliza Mkurugenzi wa Taasis ya Mwalimu Nyerere (Hayupo pichani) alipofanya kikao na watumishi hao kuelezea maswala ya uongozi bora na dhana kamili ya ujamaa na kujitegemea.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa