• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

UBOBACHIDA WAMETAKIWA KUJIUNGA NA MIFUKO YA BIMA

Posted on: August 19th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta amewashauri waendasha pikipiki, bajaji, daladala na machinga kujiunga na mifuko ya bima kwa ajili ya usalama wa vyombo vyao vya usafiri, biashara zao na afya.

Ameyasema hayo alipokuwa akizindua jengo la ofisi ya chama cha waendesha pikipiki,bajaji, daladala na wamachinga (UBOBACHIDA).

“Jiungeni na mifuko ya bima itawasaidia sana katika vyombo vyenu vya usafiri,biashara na hata pia afya zenu”.

Amesema bima ni muhimu kwao kwani wakati wowote mtu anaweza kupatwa na matatizo na bima ikatumika kusaidia katika gharama.

Aidha, amewasisitiza wanachama hao kutokukubali kutumika katika mambo binafsi ya mtu ambayo itawapelekea kuvurugana.

Umoja huo utawasaidia sana hasa kupata mikopo katika mabenki mbalimbali na hata mikopo ya serikali itakayowasaidia kuanzisha biashara mbalimbali za kuwaongezea vipato.

Akisoma risala kwa niaba ya wanachama wa umoja huo  katibu wa chama bwana Ramadhani Kambelenjo, amesema lengo kubwa la umoja huo ni kuwaunganisha na kuwa kitu kimoja.

Pia,umoja huo utawawezesha kutatua changamoto zao wenyewe chini ya viongozi wao.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishina Msaidizi Salum Hamduni, amewataka madereva hao kuhakikisha wanafuata sheria na taratibu za barabarani.

Pia, amewataka kushirikiana bega kwa bega na jeshi la polisi Mkoa kwa kutoa taarifa zozote za uharifu huku nao akiwashauri kutoshiriki katika vitendo vyovyote vya uharifu.

Chama cha UBOBACHIDA kimeanzishwa mahususi kwa lengo  la kuwaunganisha madereva pikipiki,daladala, bajaji na wamachinga kuwa kitu kimoja na kufanya kazi kwa umoja.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • MATOKEA YA DARASA LA SABA 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KUSANYENI KODI-RC KIMANTA

    January 21, 2021
  • SITAKI UFAULU WA DARAJA LA ZERO MKOANI KWANGU

    January 08, 2021
  • RC KIMANTA, BEBENI SIFA YA NCHI ZAIDI KULIKO BINAFSI

    December 19, 2020
  • WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

    December 19, 2020
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa