Wajasiliamali wametakiwa kuhakikisha wanarudisha mikopo wanayokopeshwa kutoka kwa Taasis za Mikopo ili kutoa nafasi kwa wengine kupewa mikopo hiyo na kuwasaidia wajasiliamali kukuza mitaji yao.
Maelekezo hayo yametolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenyeulemavu Mhe.Patrobas Katambi alipokuwa akifunga maonesho ya 4 ya programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi,yaliyofanyika katika viwanja vya Shekh Amri Abeid,Jijini Arusha.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa