• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATAKAO TUMIA MITANDAO YA KIJAMII VIBAYA KUKIONA

Posted on: February 13th, 2019

Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola ameagiza jeshi la Polisi kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuhakikisha watu wote watakaotumia mitandao ya kijamii kukashifu Mtu au nchi wakamatwe na kufunguliwa kesi kwa mujibu wa sheria za mawasiliano nchini.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kubaini kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaikashifu nchi pamoja na Rais John Magufuli kwenye mitandao ya Kijamii na vyombo mbalimbali vya habari.

Lugola amesema hali hiyo inapelekea kujenga picha mbaya ya nchi ya Tanzania kuwa haina amani na utulivu lakini uhalisi hauko hivyo, kwani nchi imejaa amani na utulivu kila mahali.

Amesema serikali haita kaa kimya kabisa kwa mtu yoyote atakae toa maneno ya uwongo ili kuvunja amani ya nchi kwani nchi inasheria na taratibu hivyo hatua kali zitachukuliwa kwa wote watakao toa maneno ya uchochezo na ya kuvunja amani nchi.

Aidha, amesema hali ya amtukioya uhalifu imepungua kutoka matukio 596,533 kwa mwaka 2017 hadi 591,803 kwa mwaka 2018 yani pungufu ya matukio 4,730 sawa na asilimia 0.8.

Pia, matukio makubwa na madogo ya barabarani  kwa mwaka 2017 yalikuwa 2,522,998 na 2018 yalikuwa 2,722,720, hii ni ongezeko la matukio 199,722 sawa na asilimia 7.9 na hii imesababishwa na udhibiti na ukaguzi unaofanywa na jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani hapa nchini.

Kutokana na hali hii Mhe. Lugola amewaondoa shaka wageni wote hasa watalii na wawekezaji kuwa hali ya usalama kwa nchi ya Tanzania ni nzuri sana naya utulivu.

Mhe. Kangi Lugola yupo ziarani Mkoani Arusha kuzungukia Wilaya zote za Mkoa huu ambapo atakutana na kufanya vikao na kamati za ulinzi na usalama za wilaya na pia atazungumza na kamati za chama cha Mapinduzi kwa lengo lakuona ni kwa namna gani ilani ya chama imetekelezwa hususani upande wa ulinzi na usalama.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • MATOKEA YA DARASA LA SABA 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KUSANYENI KODI-RC KIMANTA

    January 21, 2021
  • SITAKI UFAULU WA DARAJA LA ZERO MKOANI KWANGU

    January 08, 2021
  • RC KIMANTA, BEBENI SIFA YA NCHI ZAIDI KULIKO BINAFSI

    December 19, 2020
  • WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

    December 19, 2020
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa