• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WEKENI MAZINGIRA RAFIKI KWA WAZEE

Posted on: July 20th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha mheshimiwa Idd Hassan Kimanta amemtaka mganga mkuu wa Jiji la Arusha Daktari Kheri Kagya, kuhakikisha anaweka mazingira yaliyo bora na rafiki kwa wazee wanapoenda kupata matibabu katika vituo vya afya.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na viongozi wa baraza la wazee wa jiji la Arusha,katika ukumbi wa shule ya Arusha School.

“Wazee hawatakiwi kuhangaika katika kupata huduma mbalimbali hasa za matibabu, bali watumishi ndio wanapaswa kuhakikisha wanawahudumia kwa haraka zaidi,alisema”.

Amesema wazee ni hazina katika ujenzi wa maendeleo ya Mkoa kwa kutoa ushauri mbalimbali kadri ya uzoefu walio nao.

Mwenyekiti wa baraza la wazee wa Jiji la Arusha bwana Mhina Sezua amesema, wamefurahi sana kukutana na Mkuu wa Mkoa na kuaidi kutoa ushirikiano mkubwa katika uongozi wake.

Aidha, amesema kazi kubwa ya wazee ni kushauri tu pale wanapoona inaitajika kufanya hivyo ili kuleta maendeleo ya Mkoa kwa ujumla.

Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya viongozi wa wazee hao bi. Fauster Licky amesema, kweli wazee wamefurahishwa sana na kiongozi mkubwa kama Mkuu wa Mkoa kukutana nao na kusikiliza changamoto zao.

Amesema hiyo inaonesha ni kwa namna gani uongozi wa Mkoa unavyowathamini wazee na kuwachukulia kama ni moja ya nguzo za maendeleo ya Mkoa.

Mheshimiwa Kimanta amekutana na viongozi wa baraza la wazee wa Jiji la Arusha kwa niaba ya wazee wote kwa lengo la kujitambulisha kwao na kusikiliza changamoto zinazowakabili.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • MATOKEA YA DARASA LA SABA 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SITAKI UFAULU WA DARAJA LA ZERO MKOANI KWANGU

    January 08, 2021
  • RC KIMANTA, BEBENI SIFA YA NCHI ZAIDI KULIKO BINAFSI

    December 19, 2020
  • WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

    December 19, 2020
  • CHANGIENI TIMU YA MKOA

    December 17, 2020
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa