Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa madawa na vifaa tiba vyenye dhamani ya shilingi 10,305,00 kwa wilaya ya Ngorongoro.
Vifaa hivyo vitasambazwa katika vituo vya afya mbalimbali wilayani humo.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa