Katika kukuza utalii wa Mkoa wetu kuna fursa za uwekezaji katika;
1.Uboreshaji na ujenzi wa Hotel za kitalii zenye Campsites na kumbi za mikutano.
2.Kuanzisha maeneo ya historia ya Makabila kama moja ya kivutio cha utalii.
3. Kutangaza vivutio vya utalii wetu ndani ya Mkoa,nchi na nje ya nchi.
4.Kuboresha huduma ya usafiri kwa watalii wanaoingia Mkoani.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa