Posted on: March 1st, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Paul Christian Makonda amevipongeza vyombo vya ulinzi na usalama Mkoani humo kwa namna ambavyo vinaimarisha ulinzi na usalama wakati wote bila kuchoka.
...
Posted on: February 28th, 2025
Mkoa wa Arusha tayari umeanza shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha siku ya Wanawake duniani kinachotarajiwa kufanyika Machi 08, 2025 kwenye uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha m...
Posted on: February 28th, 2025
Siku ya Wanawake Duniani 2025, kufanyika Arusha Machi 08, 2025 na Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
...