• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

AFISA ELIMU ATOA TAHADHARI

Posted on: May 29th, 2020

Mkoa wa Arusha umetoa tahadhari kwa wakuu wa shule zote kutotoza michango ya ziada kwa wanafunzi kwa kisingizio cha ugonjwa wa Corona pindi shule zitakapofunguliwa.

Akitoa maelekezo hayo kaimu katibu tawala msaidizi idara ya elimu Emmanuel Maundo,amesema kumekuwa na baadhi ya shule kutangaza kuchangisha wazazi fedha kwa ajili ya kununua vifaa vya kujikinga na Corona.

Amesema Mkoa unaendelea kufanya ukaguzi katika shule na vyuo ili kujiridhisha na maandalizi yanayoendelea kabla ya kupokea wanafunzi mapema mwishoni mwa mwezi huu.

Maundo amesema, mkoa unasisitiza kwa wakuu wa shule zote kufuata maelekezo waliyoyatoa katika kipindi hiki cha maandalizi, ikiwemo shule zote na vyuo kuhakikisha kuna vyanzo vya maji vya kutosha ili kuwawezesha wanafunzi kunawa kila mara.

Pia,Usafi ufanyike vizuri katika mabweni na madarasa huku wakizingatia ukaaji wa mita moja au zaidi kati ya mwanafunzi na mwanafunzi na uwekaji wa vitakasa mikono katika maeneo ya madarasa, mabwalo ya chakula, mabweni,ofisi za walimu na vyooni.

Amesisitiza pia kwa walimu kutowataka wanafunzi kuja na vitu kama malimao na Tangawizi kama kigezo cha kuwapokea wanafunzi mashuleni na vyuoni.

Mkoa unawasisitiza wazazi kuhakikisha wanafunzi wote wanawasili katika shule zao kuanzia Mei 29 hadi 30,2020 na kuanza masomo mapema Juni 1,2020 kama serikali ilivyotoa mwongozo.

Aidha, wanafunzi wote wanatakiwa kuchukua taadhiri kama maelekezo ya watalaamu kutoka wizara ya afya yanavyoelekeza katika kujikinga na ugonjwa huu wa Covid 19.

Mkoa wa Arusha mpaka sasa unajumla ya shule za sekondari za kidato cha sita 57 na vyuo vya ualimu 8 na jumla ya wanafunzi 3948 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kidato cha sita kwa mwaka 2020 na wanachuo 529 kutoka katika vyuo vya ualimu.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa