• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ARUSHA YASHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KATIKA LISHE

Posted on: October 8th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema Mkoa wa Arusha umeshika nafasi ya pili Kitaifa katika afua za lishe.

Ameyasema hayo alipokuwa akiwasainisha mikataba ya Lishe Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmshauri za Mkoa wa Arusha.

"Tumejitaidi kufanya vizuri katika kukidhi vigezo vya lishe sasa twendeni tukaweke nguvu zaidi katika kusimamia afua za lishe ili tuweze kuongoza".

Swala la lishe likawe agenda ya kudumu kwa ngazi za Wilaya na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi lisimamieni hili.

Timu ya afya ikafanye kazi ya kutoa elimu na hamasa hadi ngazi za vijiji ili wananchi wapate uwele zaidi.

Kukosa lishe nikusababisha umaskini katika Taifa kwani hakutakuwa na Jamii inayoweza kujituma kwa kufanya kazi kwa bidii kwasababu wengi watakuwa na utapiamlo.

Nae, Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Musa amezitaka halmashauri kutoa fedha za lishe kwa kila robo mwaka na mapema ili kurahisisha shughuli za lishe kufanyika kwa wakati.

Aidha, amewataka wataalamu wa lishe kufanya ukaguzi wa vyakula katika mashule ili kujihakikishia kuwa chakula kinachotolewa kwa wanafunzi kinafaa.

Kikao cha kusaini mikataba ya lishe kwa Mkoa wa Arusha kilijumuisha kamati za ulinzi na usalama Mkoa, Wilaya, Wakurugenzi, na Makatibu Tawala wa Wilaya ambapo Kitaifa Mkataba huo ulisainiwa na Mhe.Samia Suluhu na Wakuu wa Mkoa mnao septamba 30, Jijini Dodoma.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MONGELLA AWATAKA WAKANDARASI WA UMEME KUWASILISHA MIPANGO KAZI YAO.

    January 28, 2023
  • KUMBUKIZI YA SIKU YAKUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2023
  • MAFANIKIO SEKTA YA ELIMU ARUSHA YAWA KIVUTIO KWA MAAFISA ELIMU KAGERA

    December 29, 2022
  • MPANGO WA m- mama WAZINDULIWA

    December 19, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa