• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

CATHERINE MAGIGE ATOA MSAADA

Posted on: June 12th, 2020

Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Catherine Magige ametoa msaada wa Kompyuta 15 na Printa 3 vyenye  dhamani ya shilingi milioni 33 kwa shule 3 za Mkoa wa Arusha ambazo ni Nanja, Engarenaiboir na Makiba.

Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya Mbunge huyo bwana Filipo Hamo  amesema,vifaa hivyo viende kutumika katika malengo husika ili kuongeza ufanisi zaidi katika sekta ya elimu

                                                              Muwakilishi wa Mbunge Catherine Magige bwana Filipo Hamo (wa kwanza kulia) akimkabidhi Kompyuta

                                                                                         Kaimu Katibu Tawala bwana David Lyamongi kama msaada kwa baadhi ya shule za Mkoa wa Arusha.


Bwana Hamo amesema, ofisi ya Mbunge imekuwa ikitoa misaada mbalimbali katika jamii ili kusaidia kuleta maendeleo mbalimbali na bado itaendelea kutoa misaada hiyo.

Akipokea misaada hiyo kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha David Lyamongi amemshukuru Muheshimiwa Magige kwa msaada huo kwani Serikali ya Mkoa imeweka kipaombele cha maedeleo kwenye elimu kwa kuhakikisha elimu bora inatolewa.

Pia, amewataka walimu wakuu wa shule hizi kuhakikisha wanazitumia kwa lengo husika ikiwemo kufundishia kwa kuweka mifumo ya kufundishia au wanafunzi wakazitumie katika kutafuta masomo mbalimbali kwenye mtandao.

Amesema Dunia ipo katika wakati wa matumizi makubwa ya mifumo ya mawasiliano kwa mitandao (TEHAMA) hivyo na Mkoa wa Arusha hauko nyuma katika kuhakikisha shule zote zinatumia mfumo huo ili kuwa mbale katika kuleta ufanisi.

Nae,Mkurungezi Mtendaji halmashauri ya Meru Emmanuel Mkongo, amemshukuru Mheshimiwa Magige kwa niaba ya wakurugenzi wenzake wa halmashauri ya Longido na Monduli kwa kuchagua halmashauri hizo kuwa miongoni mwa halmashauri za kupatiwa msaada huo.

Ameahidi kuhakikisha watazisimamia kwa umakini vifaa hivyo ili viweze kutumika katika malengo husika na kuhakikisha shule husika kuanza kutumia mfumo wa mtandao wa mawasiliano ili kwendana na kasi ya maendeleo ya dunia.

                                                              Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Meru bwana Emmanueli Mkongo akitoa neno la shukrani kwa muwakilishi wa Mbunge 

                                                                                              Catherine Magige bwana Filipo Hamo kwa niaba ya wakurugenzi wengine wa halmashauri ya Longido na Monduli kwa kupatia 

                                                                                                    msaada wa Kompyuta na Printa katika shule zao.


Ofisi ya Mheshiwa Magige imekuwa ikitoa misaada ya vifaa mbalimbali katika sekta za afya na elimu katika mkoa wa Arusha kwa lengo la kuisadia Serikali katika kuleta maendeleo kwa jamii.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa