• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DKT. MSONDE AWATAKA MWALIMU KULETA MAPINDUZI KATIKA ELIMU

Posted on: March 3rd, 2024


Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI


Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka walimu wote nchini kuhakikisha wanaleta mapinduzi katika elimu kwani Serikali inawatengemea katika eneo hilo na ndio kipaumbele kimojawapo cha Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Dkt. Msonde ametoa wito huo kwa walimu , kwa nyakati tofauti wakati akizungumza na walimu wa Halmashauri za Wilaya ya Gairo, Kilosa na Mvomero ambao wanahudhuria mafunzo ya walimu wa masomo ya sayansi na kiingereza kwa shule za msingi kupitia siku maalumu ya MEWAKA nchini.


 “Mwalimu ukiamua unaweza kufanya mambo makubwa sana katika taifa letu na ndio maana Serikali ya Awamu ya Sita inawategemea katika kuleta mapinduzi ya elimu ambayo ni mojawapo ya kipaumbele cha Mheshimiwa Rais,” Dkt. Msonde amesisitiza.


Dkt. Msonde amesema, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anataka watoto wa kitanzania wapate ujuzi unaostahili, na kuongeza kuwa Mhe. Rais anatarajia wanafunzi wote wa darasa la kwanza, la pili na la tatu wajue kusoma na kuandika kwa ufasaha.


Dkt. Msonde amesema kuwa, walimu wakiwafundisha vizuri watoto ni dhahiri kuwa watapata umahiri wa kusoma, kuandika na kuhesabu ikiwa ni pamoja na umahiri wa masomo yote wanayofundishwa.


“Mnapofundisha lengo lisiwe kumaliza kurasa za vitabu bali mjikite katika kuhakikisha watoto wanapata ujuzi katika somo husika na umahiri ndio jambo la kupewa kipaumbele,” amesema Dkt. Msonde.


Dkt. Msonde ameeleza bayana kuwa, Serikali inawaamini na kuwathamini walimu wote nchini na ndio maana inajali maslahi yao hivyo ni jukumu lao kuamua kutekeleza wajibu wao kikamilifu kwa mustakabali wa elimu na masilahi mapana ya taifa.


Jumla ya walimu 60,036 nchini wanahudhuria mafunzo ya walimu wa masomo ya sayansi na kiingereza kwa shule za msingi kupitia siku maalumu ya MEWAKA kupitia vituo mbalimbali vilivyopo katika wilaya zao.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa