• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DKT.PHILIP MPANGO AFIKA KWENYE MSIBA WA DKT. TIXSON NZUNDA

Posted on: June 19th, 2024


Na Elinipa Lupembe - Arusha

Makamu wa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango amefika kwenye msiba wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda, licha ya kusaini kitabu cha Maombolezo ametoa salam za pole kwa niaba ya Serikali, mapema leo Juni 19, 2024 Moshi Kilimanjaro.


Akitoa salamu za hizo, Mhe. Dkt.Mpango amemuelezea marehemu Dkt. Tixson kuwa, alikuwa ni mtumishi muadilifu wakati wote wa utumishi wake ambaye mara zote, alimtanguliza hofu ya Mungu, katika kuwatumikia wanancmfa jambo ambalo  watumkwetuwa Umma wanapaswa kuiga mfano wake huku akisistiza kuacha pengo na alama kubwa sana katika utumishi wa Umma.


"Binafsi nimefanya nae kazi sana nikiwa Waziri wa fedha na yeye akiwa ofisi ya Waziri Mkuu, mara kwa mara tulikuwa tukifanya vikao vyetu vya utatu na watumishi, Tixson alikuwa mtu makini na mpole sana , tukio hili limetuumiza sana sisi kama Serikali"


Aidha ametumia wasaa huo, kuwapongeza wananchi wa Kilimanjaro wakiongozwa na Mkuu wao wa Mkoa Mhe. Nurdin Babu kwa ushirikano mkubwa tangu kutokea kwa msiba huo, na kutoa pole kwa familia, ndugu jamaa na marafiki pamoja na watanzania wote walioguswa na msiba huo na kuwataka kuendelea kushirikiana na kujifunza kuzihesabu siku zetu kwa kuishi vizuri na kila mtu katika kazi, majirani na jamii ili siku moja uweze kuhadithiwa vizuri.


Awali Marehemu Dkt. Nzunda, alifariki dunia kufuatia ajali ya gari na dereva wakiwa njia kuelekea kiwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kwa ajli ya kumpokea Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango.


Marehemu Dk. Nzunda na dereva wake, walipoteza maisha mara baada ya gari aina ya VXR, kugongana uso kwa uso na lori la kubeba nishati ya gesi safi, mali ya Kampuni ya Orange Gas, lenye namba za usajili T 655 ABY, aina ya Scania lililokuwa likitokea Arusha kuelekea Moshi.


Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa