• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

FUATENI SHERIA ZA UCHIMBAJI MADINI YA UJENZI-RAS

Posted on: April 22nd, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt.Athumani Kihamia amewataka wachimbaji  wa madini ya ujenzi kuzingatia sheria ili kulinda mazingira ya maeneo ya machimbo.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua mafunzo ya siku moja kwa wachimbaji wa madini ya ujenzi kwa Mkoa wa Arusha.

Uchimbaji wa madini ya ujenzi kiholela ndio unasababisha uwaribifu wa mazingira kama vile kuaribu misitu na barabara.

Amesisitiza pia mashimo yanayoachwa wazi yanatunza Maji ambayo yanageuka kuwa mazalia ya mbu.

Amewataka wachimbaji hao wa madini ya ujenzi kufuata mfumo rasmi wa kuwa na leseni maalumu ya uchimbaji.

Dkt. Kihamia amesema kufuata utaritibu huo utasaidia hata nchi kupata mapato yaliyo halali.

Nae, Meneja wa Baraza la usimamizi na uhifadhi wa mazingira (NEMC) Kanda ya Kaskazini bwana Lewis Nzari amewataka wachimbaji wa madini ya ujenzi kuacha kufanya shughuli zao usiku badala ya mchana ili kuwa na usalama zaidi wa maisha yao.

Amesema lengo la mafunzo hayo nikutoa elimu kwa wachimbaji hao juu ya uchimbaji wa madini ya ujenzi kwa njia iliyo bora na salama kwao.

Uchimbaji usio salama kwao umesababisha kuwa na vifo katika machimbo hayo na uwaribifu mkubwa wa mazingira hasa Barabara kuaribiwa.

Kikao cha utoaji elimu ya uchimbaji bora wa madini ya ujenzi kilijumuisha wataalamu mbalimbali wa mazingira na viongozi wa wachimbaji madini ya ujenzi kwa Mkoa wa Arusha.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa