• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

HALI YA UDUMAVU MKOANI INAENDELEA KUIMARIKA

Posted on: May 9th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bwana Missaile Musa amewataka wadau wa lishe Mkoani humo kuendelea kushirikiana na Serikali ili kuhakikisha sekta hiyo inaeleweka katika jamii.

Ameyazungumza hayo katika kikao cha kamati ya lishe Mkoa katika robo ya tatu ya mwaka 2022/2023.

Swala la lishe ni mtambuka hivyo kila mtu ahakikishe anasimama katika nafasi yake kwa kuhakikisha elimu inawafikia watu wote.

Aidha, amewataka wakala wa Maji  na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kuhakikisha maji yanafika katika shule zote za Mkoa wa Arusha ili wanafunzi waweze kupata maji safi na salama.

"Kwa kufanya hivyo kutasaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko kwa watoto",alisema Missaile.

Pia, amezitaka Halmshauri za Mkoa wa Arusha kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya ununuzi wa vibao vya kupimia urefu watoto hii  itasaidia kupunguza zaidi hali ya udumavu.

Bwana Missaile amesema hali ya udumavu katika Mkoa imeshuka kutoka 36% 2021/2022 hadi 30% 2022/2023, amesema juhudi zipo katika mkoa wetu lakini bado jitihada za makusudi zinaitajika.

Kwa upande wake, afisa elimu watu wazima akizungumza kwa niaba ya afisa elimu Mkoa Emmanuel Maundo amesema changamoto ya upatikanaji wa chakula katika shule ipo kwani kuna baadhi ya wazazi hawatoi mchango wa chakula kwa madai elimu ni bure.

Amesema katika shule za msingi za Serikali 636, shule 502 ndio zinatoa chakula kwa wanafunzi na shule za Sekondari 174 za Serikali zote zinatoa chakula.

Maundo amesisitiza kuwa kupatikana kwa chakula shuleni kumesaidia wanafunzi kupunza utoro, kuongeza ufaulu na nidhamu kwa wanafunzi imeongezeka.

Nae, Afisa Lishe Mkoa Rose Mamuya amesema hali ya upatikanaji wa chakula katika shule vyingi za Mkoa wa Arusha ni nzuri.

Hivyo mikakati aliyonayo ni kuhakikisha vyakula hivyo vinakuwa vyenye virutubisho vya kutosha na njia moja wapo ni kuhamasisha ulimaji wa mbogamboga unafanyika kwenye shule.

Kikao cha kamati ya lishe Mkoa kimefanyika katika robo ya tatu ya mwaka ikiwa ni utaratibu uliopo wa kuhakikisha kikao hicho kinafanyika kwa lengo la kufuatilia hali ya lishe katika Mkoa.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa