• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

JAMII IMEHIMIZWA KUTUNZA MIUNDOMBINU NA VYANZO VYA MAJI

Posted on: July 19th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Jamii imehimizwa kutunza miundombinu ya miradi ya maendeleo kufuatia miradi inatekelezwa na fedha nyingi za Serikali sambamba na utunzaji wa vyanzo vya maji na uhifadhi wa mazingira.


Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndugu Godfrey Eliakimu Mnzava muda mfupi kabla ya kuweka Jiwe la Msingi kwenye Mradi wa Maji Patandi eneo la  Akheri Halmashauri ya Meru, wilaya ya Arumeru, mradi wenye thamani ya shilingi Bilioni 3.12.


Ndugu Mnzava amesema kuwa, Serikali inatumia fedha nyingi kutekeleza miradi ya maji, ikiwa na lengo la kusogeza huduma za maji karibu na wananchi ili kuhakikisha kila mwananchi anachota maji ndani ya eneo analoishi na kuongeza kuwa, wameridhishwa na utekelezaji wa mradi huo wa maji Patandi ambao hatua za utekelezaji wake unakwenda vizuri na kuwasisitiza wananchi kutunza miundombinu ya mradi huo, ili uweze kuwahudumia vizazi na vizazi.


Amewahimiza wananchi hao, kuizingatia utunzaji wa miundombinu hiyo ya maji, uende sambamba na utunzaji wa vyanzo vya maji na uhifadhi wa mazingira hasa kwa kuzingatia Kaulimbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 inasisitiza autunzaji wa mazingira kwa maendelei endelevu.


"Dhamira ya Mheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama na ya uhakika, hivyo ni vema wananchi kumuunga mkono kwa kuitunza miradi ya maji na miundombinu yake, kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi mazingira na uoto wa asili, ili huduma hiyo ya maji iwe endelevu". Amefafanua Ndugu Mnzava.


Aidha Kiongozi huyo, ameridhishwa na utekelezaji wa mradi huo na kuweka Jiwe la Msingi huku akiwasistiza watalamu kuendelea kutekeleza mradi kadri Serikali inavyotoa fedha huku wakizingatia taratibu zote za utekelezaji wa miradi ya Serikali, ili uweze kukamilika na kufikia lengo la Serikali la kuhudmia wananchi kwenye maeneo yao.


Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2024 ni "Tunza Mazingira, Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa ujenzi wa Taifa Endelevu"


Mwenge wa Uhuru Oyeeeeeee




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa