• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

JAMII YATAKIWA KUTOWANYANYAPAA NA KUWATENGA WATU WENYE CHANGAMOTO ZA AFYA YA AKILI....

Posted on: May 5th, 2024

Jamii imetakiwa kuwajali na kuwapa msaada watu wenye changamoto za afya ya akili, kwa kuwaelekeza sehemu sahihi wanazoweza kupata matibabu sahihi badala ya kuwanyanyapaa hali inayowasababishia matatizo zaidi na ongezeko la watu wenye taafya ya akili kwenye jamii zetu.


Rai hiyo imetolewa na Mganga Mkuu Mkoa wa Arusha Dkt. Charles Mkombachepa, akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda kwenye mdahalo maalum wa kuhamasisha wananchi kutambua umuhimu wa afya ya akili, sababu za matatizo ya afya ya akili, changamoto na sehemu sahihi ya kupata huduma, mdahalo uliofanyika kwenye viwanja vya Jimkana baada ya matembezi ya hiari.


Dkt. Mkombachepa emeeleza kuwa, tatizo la afya ya akili bado ni changamoto kubwa Nchini, hivyo kila mawnajamii analo jukumu la kuchukua tahadhari ya kujilinda na kuwasadia wale ambao tayari wanapitia changamoto hizo.


“Nitoe rai kwa wananchi wote kutowanyanyapaa na kuwatenga watu wanaopitia changamoto za afya ya akili, kwa kuwaita majina ambayo yanawafanya wajisikie vibaya na kuhisi kukosa msaada, kwa kufanya hivyo kunasababisha kujisikika vibaya pamoja na ongezela kubwa la watu wenye matatizo ya afya ya akili kwenye jamii zetu.” Amesisitiza.


Naye Mkurugenzi wa ASAS ya kiraia, Julieth Kiwaga ameiomba Serikali kutenga bajeti ya kujenga vituo maalum vya kutoa kwa watu wanaopitia changamoto hizo,sambamba na kuandaa mitaala ya kutoa elimu shuleni ili kila mwanajamii kuwa na ufahamu juu ya changamoto za afya ya akili.


Hata hivyo, Daktari wa afya ya akili Mkoa wa Arusha Dkt. Charles Migunga, amezitajwa sababu za mtu kupata ugonjwa wa afya ya akili ni msongo wa Mawazo, mtindo wa maisha, kurithi kutoka wazazi, changamoto za maisha na wakati mwingine kusababisha kujiingiza kwenye uraibu wa dawa za kulevya.


Aidha, ameibainisha mikakati ya Serikali katika kukabiliana na changamoto hizo, ni kuendelea kutoa elimu kwenye makundi mbalimbali ikwemo wafanyakazi, vijana na wanafunzi ili kuwajengea uwezo wa kutambua kuhusu changamoto hizo..


Awali, takwimu za WHO zinaonyesha kuwa mtu mmoja kati ya nane anakabiliwa na changamoto ya Afya ya akili duniani.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa