• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UJENZI SHULE MPYA YA SEKONDARI SEKEI...

Posted on: February 26th, 2024


Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha, wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Loy Thomas Ole Sabaya, wamepongeza utekelezaji wa mradi wa Ujenzi wa shule mpya ya sekondari Sekei kata ya Sekei jiji la Arusha, mradi ambao umetekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 584. 2, fedha kutoka Serikali Kuu, kupitia mradi wa kuboresha mindombinu ya shule za sekondari SEQUIP.


Wajumbe hao kwa pamoja waupongeza uongozi wa mkoa kupitia halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kuamilisha ujenzi wa shule hiyo kwa wakati na hatimaye wanafunzi 95 waliopangiwa kuanza kidato cha kwanza wakiwa darasani, huku mradi huo ukiwa na viwango vya ubora vinavyoendana na thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali.


Mwenyekiti wa UWT CCM mkoa wa Arusha, Florah Zelothe, amewapongeza kwa usimamizi imara wa fedha za umma na hatimaye kukamilisha mradi kwa kipindi kifupi, mradi ambao thamani ya pesa na ubora wa mradi vinaonekana kwa macho huouzuri wa mradi huo, wenye mindombinu ya kisasa 

Aidha wamewataka walimu, kuwasimamia wanafunzi ili kuitunza miundombinu na samani zake ili zidumu kwa muda mrefu pamoja na kutunza mazingira ya nje kwa kupanda miti, kuzunguka eneo lote la shule.


Awali, akiwasilisha taarifa ya mradi huo, Mkuu wa shule ya Sekondari Sekei Mwl. Joshua Kisivan Mollel amasema, mradi huo umetumisa shilingi milioni 584.2 ukijumuisha ujenzi wa jengo la utawala, vyumba nane vya madarasa, maabara tatu za masomo ya Sayansi ikiwemo Kemia,Biolojia na Fizikia, Maktaba, jengo la TEHAMA, pamoja na matundu nane ya vyoo vya wasichana na wavulana.


Amsema Shule hiyo imesajiliwa kwa namba ya usajili S.6448 na tayari imepokea wanafunzi 96 wa kike 50 na wa kiume 46 na ugundishaji umeanza tangu Januari 08, 2024 kufuatia ratiba ya mwaka wa masomo ulioanza 2024.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa