• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA YAAGIZA KUKAMILIKA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI LEPURKO...

Posted on: March 11th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Wajumbe wa Kamati ya Siasa mkoa wa Arusha, wakiongozwa na Mwenyekiti CCM Mkoa huo,  Loy Thomas Sabaya, wametembela na kukagua mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Lepurko, kata ya Lepurko Tarafa ya Kisongo, ikiwa na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM wilaya ya Monduli.


Wajumbe hao wa Kamati ya Siasa wamemuagiza Mkurugenzi Mtendaji kupitia Ofisi ya Mkuu wa mkoa, kukamilisha mradi huo kabla ya mwezi Aprili 30, 2024 ili wanafunzi waweze kuingia shuleni hapo.


Mwenyekiti  Sabaya, amesema kuwa, mradi huo uko nyuma ya wakati kulinganisha muda wa utekelezaji wa mradi licha ya changamoto zilizojitokeza na kusababisha ucheleweshwaji wa mradi, ameuagiza uongozi wa wilaya na halmashauri kukamilisha mradi huo ifikapo tarehe 30 Aprili, ikiwa ni pamoja na ukamilishaji wa majengo na samani za madarasa na ofisi.


Hata hivyo, Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe.Festo Shemu Kiswaga, ameahidi kutekelza maagizo hayo kwa kufuatilia na kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa siku hizo zilizoelekezwa.


Akisoma taarifa ya mradi huo, Mkuu wa shule ya sekondari Lopurko Mwl. Sadoth Rutayuga, amesema mradi huo umetekelezwa kwa gharamaya shilingi milioni 602.2, ikiwa milioni 584.2 fedha kupitia mradi wa SEQUIP na milioni 18 ni nguvu za wananchi umetekelezwa kwa shilingi milioni 584.2 Sequip


Mradu huo, umejumuisha  ujenzi wa jengo la utawala, vyumba naen vya madarasa, ujenzi wa maabara, maktaba , kisima cha maji matundu ya vyoo kichomea taka, umegharimu milioni 692.2


#ArushaFursaLukuki




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa