• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA YAUAGIZA UONGOZI WA KATA OLDONYOSAMBU KUFUATILIA NA KUHIMIZA WATOTO WA KIUME KWENDA SHULE.....

Posted on: March 18th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Wajumbe wa Kamati ya Siasa mkoa wa Arusha, wametembelea na kukagua hali ya ujenzi wa mradi wa shule mpya ya Msingi ya Emayan kijiji cha Lemanda kata ya Oldonyosambu, mradi uliotekelezwa na Serikali kwa gharama ya shilingi milioni 348.5 kupitia Programu ya SEQUIP 


Wajumbe hao licha ya kuridhishwa na utekelezaji wa mradi huo, mradi uliotekelezwa kwa viwango vya ubora unaoendana na thamani ya fedha, ameuagiza uongozi wa kata ya Oldonyosambu, kufuatilia na kuwahimiza wazazi kuwasimamia na kuhakikisha watoto wa kiume wanakwenda shule, watoto ambao mahudhurio yao yanaonekana kuwa ni hafifu ukilinganisha na wasichana, kutokana na jamii za kifugaji kuwapa watoto wa kiume kazi ya kuchunga mifugo muda wa masomo na kushindwa kuhudhuria masomo.


Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Bw. Loy Thomas Ole Sabaya, amesema kuwa, uongozi wa kata na vijiji, wanalazimika kuwafuatilia wazazi ambao wanawapelekea watoto wao kuchunga mifugo badala ya kwenda shuleni na kuwachukulia hatua za kisheria kwa kuwa lengo la Serikali ni kuhakikisha watoto wote wanapata elimu bila kujali jinsi zao.


"Ninawataka wazazi wote, wanaowazuia watoto hasa wa kiume kwenda shule na kuwapeleka kuchunga mifugo, kuacha mara moja tabia hiyo na kuwaruhusu watoto hao kusoma kwa kuzingatia malengo ya Serikali ya kusomesha watoto wote, tambueni Serikali imetumia fedha nyingi kujenga shule, viongozi wa kata chukueni hatua kali kwa yoyote anayeleta vikwazo kwa watoto kusoma". Amesema Sabaya


Awali, Shule hiyo ya Emayani, imesajiliwa na tayari wanafunzi wameshaanza kusoma shuleni hapo, shule ikiwa na jumla ya wanafunzi 683, wavulana 295 na wasichana 388.


#ArushaFursaLukuki




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa