• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA YAWAPONGEZA WANANCHI WA SING'ISI KWA USIMAMIZI WA UJENZI WA SHULE.

Posted on: March 20th, 2024


Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha wamewapongeza wananchi wa kata ya Seela Singisi, kwa ushirikiano wao uliofanikisha kukamilisha ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Madiira, shule ambayo imejengwa na Serikali kwa gharama ya shilingi milioni 584.2 kupitia program ya SEQUIP.



Wajumbe hao wa Kamati ya Siasa wametoa ponhezinhizo mara baada ya kutembelea shuleni hapo na kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa shule hiyo, shule ambayo tayari imekamilika na wanafunzi wameanza masomo shuleni hapo tangu muhula mpya wa masomo wa mwaka 2024 ulipoanza mapema Januari 08 mwaka huu.


Mwenyekiti wa Kamati, Loy Thomas Ole Sabaya, amewaponheza wananchi hao kwa kushiriki usimamizi wa mradi huo, ambao umekamilika ukiwa na viwango vya ubora unaoendana na thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali.


Aidha ameupongeza uongozi wa mkoa, wilaya na halmashauri kupitia watalamu wasimamizi wa mradi, kwa namna wamesimamia vema utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020 - 2025 kupitia mradi huo na shughuli zote zinazofanyika kwenye Mamlaka ya Serikali za Mitaa.


"Mmefanya kazi nzuri mnastahili pongezi, tayari wanafunzi wameanza masomo, lakini mmepanda miti kuzunguka mazingira yote ya shule, mazingira ni mazuri yanavutia kusoma, niwasihi walimu na wazazi kuwasimamia watoto hawa kusoma ili kufikia lengo la Serikali ya awamu ya sita ya kupata watalamu wa fani mbalimbali watakaokuja kulitumikia Taifa la Tanzania" Amesema Sabaya.


Awali Kamati hiyo ya Siasa imafanya ziara ya kawaida ya kukagua miradi ya Maendeleo halmasahuri ya Meru, ikiwa ni ukaguzi wa  Utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020 - 2025.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa