• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMISHNA UHIFADHI NGORONGORO KAMISHNA RICHARD RWANYAKAATO APISHWA

Posted on: October 30th, 2023

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki (Mb) leo tarehe 29 Oktoba, 2023 amemuapisha Richard Rwanyakaato Kiiza kuwa kamishna wa Uhifadhi wa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) baada ya Uteuzi uliofanywa na mhe. Rais hivi karibuni.


Katika tukio hilo Mhe. Waziri amebainisha kuwa Uteuzi wa Kamishna huyo ni sehemu ya kuimarisha majukumu ya Uhifadhi, utalii na maendeleo ya Jamii na kuongeza kasi ya kutangaza utalii kwa njia mbalimbali za kisasa ili kuongeza idadi ya wageni wanaotembelea nchi yetu kama ilivyo adhima ya Mheshiwa Rais wetu.


Waziri Kairuki ameilekeza bodi na Menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kusimamia sheria za uhifadhi ikiwemo kutoa mifugo yote iliyoingiza kinyemela katika maeneo yaliyohifadhiwa ikiwemo Pori tengefu la Loliondo.


“Pamoja na majukumu mengine mliyonayo nawaelekeza wahifadhi kusimamia sheria zilizopo na kuhakikisha mifugo iliyoangizwa kinyemelea katika maeneo ya Hifadhi iondolewe” amesisitiza mhe. Kairuki


Aidha Mhe. Kairuki amempongeza Kamishna wa Uhifadhi aliyemaliza muda wake, Dkt. Freddy Manongi kwa juhudi ambazo wamezifanya katika kutangaza Vivutio vya utalii tulivyonavyo ambapo juhudi hizo zimeiwezesha Hifadhi ya Ngorongoro (NCA) kuchaguliwa na mtandao wa “Word Travel Awards” kama kivutio bora cha Utalii barani Afrika “Africa Leading tourist Attractions” na mafanikio ya kuongeza idadi ya watalii hadi kufikia wageni zaidi ya 752,000, kuongeza mapato hadi kufikia Bilioni 171 mwaka wa fedha 2022/2023


Vilevile Mhe. Kairuki amemuelekeza Kamishna wa Uhifadhi NCAA na wadau wengine wanaohusika na zoezi la zoezi la uelimishaji, uandikishaji, uthaminishaji na uhamishaji wa wananchi wa eneo la Hifadhi ya Ngorongoro wanaojiandikisha kuhama kwa hiari kuendelea kusimamia eneo hilo kwa kufuata sheria na misingi ya haki za binadamu.


“Serikali inaendelea kuwahakikishia Wadau mbalimbali, Wananchi wa Ngorongoro na Jumuiya za Kimataifa kuwa zoezi hili ni la hiari, shirikishi na linazingatia misingi ya haki za kibinadamu na utawala bora na kila mwananchi aliejiandikisha kuhama kwa hiari Serikali itampa fidia na gharama zote za kumhamisha hadi alipochagua kwenda zinabebwa na Serikali kwa asilimia 100” amesisitiza


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa