• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATOTO CHINI YA MIAKA 5 KUPATIWA VYETI VYA KUZALIWA BURE

Posted on: April 16th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Hassan Kimanta ametoa maagizo kwa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kuhakikisha wanafanya kazi zao za usajili kwa kushirikiana na vyombo vya ulizi na Usalama.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua semina kwa ajili ya viongozi wa Wilaya na Mkoa wa Arusha,kuhusu usajili wa Vizazi kwa Watoto wa umri chini ya miaka 5.

Amesema zoezi hilo la usajili wa vyeti vya kuzaliwa linaitaji umakini na kuweka mbele uzalendo zaidi kwa maslahi ya Taifa na kuwezesha kusajili watoto wanaotakiwa tu.

Kimanta amesisitiza zaidi juu ya umuhimu wa usajili wa Watoto hao kwani itasaidia kuwa na takwimu sahihi na kuondokana na dhana ya kutumia takwimu za makisio.

Nae, Kaimu Mtendaji wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini  Bi. Emmy Hadson amesema, kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 Mkoa wa Arusha ulikuwa na jumla ya Watoto 310,887 na waliosajiliwa ni 23% tu.

Bi. Emmy amesema kupitia kampeni hii wanayotarajia kaianzisha katika Mkoa wa Arusha, itafavyika kwa wiki 2 na kisha zitatolewa siku 90 za kuhakikisha Watoto wenye umri chini ya miaka 5 wanasajiliwa bure.

Kwa watakaopoteza vyeti hivyo watatakiwa kulipia gharama ya shilingi 5000 kwa ajili ya kupatiwa cheti kipya.

Aidha, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha bwana David Lyamongi amesema, katika kampeni hii hamasa kubwa inaitajika ili kuweza kuwafikia wananchi wengi na wakajitokeza kwa wingi.

Amesisitiza kuwa katika usajili huu ni maandalizi ya kizazi kijacho hivyo umakini unaitajika ili kuhakikisha Watoto wanaoandikishwa ni wanaostahili.

Kampeni ya kusajili Watoto wenye umri chini ya miaka 5 tayari imeshafanyika katika Mikoa 18 na inaendelea katika Mikoa mingine ikiwepo Mkoa wa Arusha.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa