• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KILA MTOTO ATENGEWE SHILINGI 1000

Posted on: November 14th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Arusha ameziagiza halmashauri zote za mkoa huu kutenga kiasi cha shilingi 1000 kwa kila mtoto katika halmashauri kutoka katika mapato ya ndani ilikusaidia katika mfuko wa Lishe wa halmashauri.

Yamesemwa hayo na katibu tawala wa Mkoa Richard Kwitega kwa niaba ya mkuu wa mkoa alipokuwa akifungua mafunzo ya siku moja ya namna ya upangaji wa bajeti ya lishe katika mkakati wa lishe Kitaifa, amesema hali ya udumavu katika mkoa si nzuri sana upo kwa asilimia 36.

Amesema wahanga wakubwa ni watoto na wanawake ambapo watoto wengi wanaudumavu wa akili na mwili na wanawake wajawazito hujifungua watoto njiti au hupoteza maisha kabisa.

Hali za watoto kwa mkoa wa Arusha  kwa mwaka 2015/2016 watoto  wenye uzito mdogo kwa urefu ni  asilimia 6.5 na wenye uzito mdogo kwa umri ni asilimia 20.1 na watoto 57 kati ya 100 wana upungufu wa damu.

Amesema hali hii pia kwa akinamama wajawazito sio nzuri kwani wanawake wenye umri kati ya miaka 15 hadi 17, 14 kati ya 100 wana upungufu wa damu kwa takwimu za mwaka 2015/2016.

Akisisitiza zaida mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro amesema ifike wakati sasa elimu itolewe kwa kina juu ya ulaji mzuri wa vyakula mbadala vitakavyo ongeza virutubisho mbalimbali katika mwili badala ya kutumia madawa kwa wingi.

Amesema vyakula kama mbogamboga, matunda na vyakula vya nafaka vinavyoongeza madini, vitamin na virutubisho vingine mbalimbali yanayoitajika mwilini.

Pia, mpango mkakati wa lishe unaitaji bajeti ambayo utasimamia utekelezaji wake kwa kiasi kikubwa, amesema mafunzo hayo waliyopatiwa yatawasaidia kuwa na uwelewa mpana wa namna ya kusimamia shughuli nzima za lishe katika wilaya zao kwa ufasa.

Mafunzo hayo ya kuwajengea uwezo wa kutengeneza bajeti za lishe katika mkoa wa Arusha  yaliyosimamiwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) yalifanyika kwa kuhusisha wilaya mbili ya Jiji la Arusha na Arusha Vijiji na kuendelea katika wilaya nyingine za Meru, Longido,Monduli,Karatu na Ngorongoro.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa