• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KONGAMANO LA VIONGOZI WA DINI KUMSHUKURU RAIS SAMIA

Posted on: June 2nd, 2022

"Watumishi tutaenda kuwajibika katika majukumu yetu na kuwapa ushirikiano mkubwa ili tulete maendeleo katika Mkoa wetu".

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella alipokuwa akizungumza kwenye kongamano la viongozi wa dini na kijamii la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan, Katika kituo cha Mikutano AICC Jijini Arusha.

Amesema yote yaliyozungumzwa na viongozi hao yamesaidia katika kuonesha namna ya kuwakumbusha majukumu yao.

Aidha, amewahakikishia viongozi hao kuwa Serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwao na kudumisha amani ya Mkoa.

 Nae, Mwenyekiti Msaidizi wa Jumuiya ya Maridhiano Taifa Askofu Dkt.Israel Maasa amesema watumishi wa umma wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga Mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa alizozifanya katika kuboresha maslahi ya watumishi hao.

Juhudi anazozionesha Mhe. Rais ni kutokana na utiifu kwa Mungu alionao ambao umemsaidia kuendesha nchi kwa amani.

Sheikh wa BAKWATA Mkoa wa Arusha Shaban Bin Jumaa amesema kitendo Cha Rais Samia kukutana na vyama vya siasa hasa vya upinzani kumeonesha mashirikiano wa hali ya juu kwa maslahi ya Taifa.

Nae Kiongozi Mkuu wa kimila kutoka kabila la Maasai Laigwanan Ole Kisongo amewataka viongozi wa Mkoa wafanye kazi kwa uwaminifu, amani na mshikamano.

Amesema Rais Samia ni kiongozi wa kujenga mahusiano hivyo wamuunge Mkono kwa ujasiri zaidi kwani ameweza kuondoa michango ya ujenzi kwa wananchi.

Kongamano la viongozi wa Jumuiya ya Maridhiano limefanyika maalumu la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa mambo mazuri aliyoyafanya ikiwemo uzinduzi wa filamu ya Royal Tour inayoenda kukuza utalii kwa Mkoa, ujenzi wa vyumba vya Madarasa na vituo vya afya na hasa juhudi za kumalizia miradi ya maendeleo iliyoanzishwa na Serikali ya awamu ya Tano.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa