• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

"KUENDESHWA MUONGOZA WATALII MWANAMKE KUNAONGEZA UTULIVU"- RC MAKONDA.

Posted on: March 4th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amewahamasisha wasichana na wanawake kuchangamkia fursa ya kuwa waongoza watalii Mkoani Arusha, kutokana na kusifika kwao kwa utulivu, busara na sifa nyingine za asili wawapo barabarani na namna ambavyo wamegeuka kuwa kivutio kwa watalii mbalimbali ambao mara zote hueleza kufurahia kuhudumiwa na kuendeshwa safarini na wanawake.



Leo Machi 04, 2025, akizungumza wakati akiwa anaendeshwa na Muongoza watalii Bi. Tumaini Paul Sayala maarufu kama Hope, Mhe. Makonda amesema kuongozwa na mwanamke kunaongeza utulivu kutokana na umakini alionao mwanamke suala ambalo limesababisha mara zote wanawake kuhusika na ajali chache, ambazo mara kadhaa zikiwa ni za kusababishiwa wawapo barabarani.



"Mwanamke kwenye gari la utalii anaongeza kivutio cha pili kwa mtalii, namna wanavyoweza kueleza mambo hasa pale mwanamke anapoamua kukueleza kitu, wamekuwa wataalamu kabisa katika hilo. Nihamasishe watoto wa kike kujitokeza kwa wingi, msisite njooni Arusha kuchangamkia fursa hii muhimu." Amesema Mhe. Makonda.



Kwa upande wake Muongoza watalii huyo, ameeleza kufurahishwa na maandalizi na shamrashamra za siku ya mwanamke duniani kwa mwaka huu, akikiri kuwa ni kwa mara ya kwanza anashuhudia shamrashamra zenye kuhusisha sekta mbalimbali wakati huu Arusha ikiwa mwenyeji wa siku ya wanawake Kitaifa, Mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hapo Machi 08, 2025.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa