• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KUNDI JINGINE LA WANANCHI WA NGORONGORO WAHAMIA MAENEO WALIYOCHAGUA NJE YA HIFADHI...

Posted on: October 19th, 2023

NGORONGORO:


Kundi la pili lenye kaya 11 na wananchi 43 pamoja na mifugo 36 waliokuwa wamejiandikisha kuhama kwa hiari wameagwa leo tarehe 19 Oktoba, 2023 na kuhamia katika maeneo waliyoyachagua katika Wilaya za Monduli, Meatu, Arusha vijijini, Simanjiro na Handeni ambayo wameyachagua.


Akiwaaga wananchi hao kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Raymond Mwangala amesema hatua hiyo ni muendelezo wa awamu ya pili ambapo kundi la kwanza lilihama tarehe 24/8/2023 ambapo jumla ya  kaya 16 zenye watu 87 na mifugo 733 zilihamia Wilaya za Monduli, Karatu, Meatu na Arusha.


Mwangala ameongeza kuwa katika utekelezaji wa zoezi hilo wananchi wanaojiandikisha wanapata fursa ya kuchagua maeneo yaliyopangwa na Serikali na maeneo mengine ambayo watachagua wenyewe na Serikali itawalipa fidia na stahiki zao kwa mujibu wa Sheria.


“Zoezi hili linafanyika kwa kufuata sheria zote za nchi, utu, na haki za binaadamu, tumepanua wigo zaidi ambapo pamoja na maeneo yaliyotengwa na Serikali mwananchi ana haki ya kuchagua popote anapotaka kwenda na Serikali itampa staki zake kwa mujibu wa sheria”,alisema Mhe.Mwangala


Akitoa taarifa ya utekelezaji wa mradi huo wa kuhamisha watu awamu ya Pili Kamishna Msaidizi mwandamizi Mdala Fedes amebainisha kuwa Serikali imeongeza idadi ya nyumba zinazojengwa kutoka 503 za awamu ya kwanza hadi kufikia nyumba 5,000 katika awamu ya pili na kuongeza idadi ya huduma za kijimii kama vile maji, shule, vituo vya afya, umeme , barabara, mawasiliano na huduma za mifugo na posta.


Ameongeza kuwa mradi wa ujenzi wa Nyumba umepanuka katika maeneo mengine ya Mkoa wa Manyara na Wilaya ya Kilindi na Handeni ambapo nyumba 1500 zinatarajiwa kujengwa katika kijiji cha Kitwai B kilichoko Wilaya ya Simanjiro, nyumba 1,000 kijiji cha Saunyi kilichopo Wilaya ya Kilindi Mkoa wa Tanga na nyumba zingine 2500 zitajengwa katika kijiji cha Msomera kilichoko Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga.


Tangu zoezi la wananchi waliojiandikisha kuhama kwa hiari lilivyoanza hadi kufikia tarehe 18.01. 2023 jumla ya kaya 551 zenye watu 3,010 na mifugo 15,321 zimehamia katika kijiji cha Msomera Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga lengo likiwa ni kuboresha huduma za kijamii za wananchi hao na kulinda Hifadhi ya Ngorongoro


Chanzo.

Na Kassim Nyaki, Karatu


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa