• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Maadhimisho ya miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)

Posted on: August 21st, 2023


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kushurikiana na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania katika kuhudumia mwananchi.

Rais Samia ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na Viongozi pamoja na waumini wa Kanisa hilo katika maadhimisho ya miaka 60 ya kanisa hilo.

Rais Samia amesema swala la uwalibifu wa mazingira yametokana na sisi wenyewe kushindwa kuwa rafiki kwa mazingira na yanatuadhibu wenyewe.

Amesisitiza kuwa hatua zilichokuliwa na Serikali katika kutunza mazingira ni matumizi ya solar kule Shinyanga na umeme wa upepo kule Tabora ili kutunza mazingira.

Kutokana na uharibifu wa mazingira umepelekea kuwa na tatizo la usalama wa chakula na nchi yetu ya Tanzania bado tunaendelea kuzalisha chakula bora kinacholisha maeneo mengi.

Amewataka viongozi watakaochaguliwa kwenda kuendelea kusimamia misingi ya kanisa ikiwemo umoja na mshikamano ambao ndio unaenda hadi kwenye nchi.

Amewataka viongozi wote wa kidini kukuza ,kusimamia na kuenzi maadili yetu ili watoto wetu wawezi kuyaishi na kuwakuza katika maadili hayo.

Amelitaka Kanisa la kijidhatiti kwa kuangalia mabadiliko yanayotoke Duniani na katika nchi nakuweza kuendana nayo hasa yale mazuri ili kuleta maendeleo.

Nae,Askofu Mkuu wa Kanisa kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Fedrick Shoo amesema kanisa hilo limeanza mwaka 1963 na waumini takribani 5000 hadi kufikia waumini takribani milioni 8 kwa sasa na jiyo ikiwa ni muungano wa makanisa 7 hadi kufikia diyosisi 27 na zitaendelea kuongozeka.

Kanisa hilo limejikita katika kutoa huduma ya jamii ikiwemo huduma za afya kuanzia zahanati, sekta ya elimu katika ngazi zote, pia wana huduma ya utetezi yakupinga ukatili wa kijinsia, ulemavu wa ngozi.

Kwa miaka 60 Kanisa hilo limepita katika nyakati tofautitofauti lakini bado linaendelea kukua huku likipata ushirikiano kutoka Serikalini kwa kuzingatia ustawi wa wananchi pasipo. ubaguzi.

Taasisi za Kidini zimechangia sana maendeleo ya nchi tokea kabla ya uhuru hata baada ya uhuru.

Hospitali nyingi zimekuwa zikichangia kutoa huduma kwa wananchi na nyingine zikishirikiana na serikali katika kutoa huduma hizo.

Ameishukuru Serikali kwa kuendelea kutoka ushirikiano katika huduma za afya hasa pale inapowalipa watumishi mishahara kwenye hospitali ambazo zinaubia na Serikali.

Halikadhalika ameishukuru Serikali kwa kutoa ushirikiano katika kutoa huduma ya kuwatibu wagonjwa wa Kansa hasa baada ya Kanisa  kutoa wazo hilo.

Ameiyomba Serikali kutilia maanani mabadiliko ya tabia nchi ili kuokoa kikazi kijacho hasa kwa kutumia njia mbadala ya mwanga wa jua.

Askofu Shoo amesema, Serikali ya awamu ya sita imeendelea kutoa ushirikiano mkubwa kwa sekta binafsi hasa taasisi za kidini nakuleta maendelea katika nchi.

Amewataka viongozi wa Dini na Serikali kutowaga watanzania kwa msingi wa dini au kisiasa kwani umoja na mshikamano ni msingi imara kuliko kitu chochote.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema Kanisa la KKKT wamefanyakazi kubwa sana hasa kwenye kuleta mafanikio.

Wamekuwa niwadau wakubwa hususani katika Mkoa wa Arusha kwani wanagusa wananchi katika nyanja mbalimbali hasa za Kanisa na afya,hivyo serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwa kanisa hilo.

Maadhimisho ya miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yamefanyika Mkoani Arusha sambamba na uwekaji jiwe la msingi katika maabara ya Sayansi ya chuo Kikuu cha Makumira.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa