• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MHE. KIKWETE: ATETA NA WATUMISHI WA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA; KUHUSU MIFUMO YA UPIMAJI UTENDAJI KAZI..

Posted on: December 18th, 2023

Na Daniel Gitaro.


Naibu Waziri Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Menejimenti na Utawala Bora Mhe. Riziwani kikwete amesema kuwa Serikali imeboresha mifumo ya upimaji utendaji kazi kwa watumishi wa Umma ambayo itawezesha watumishi kutekeleza majukumu yao waliyopangiwa ipasavyo na kurahisisha kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili watumishi.


Mhe. Kikwete amesema hayo wakati akizungumza na watumishi wa wa Chuo cha Ufundi Arusha, wakati watumishi hao wakiwa kwenye mafunzo ya mifumo ya PEPMIS na PIPMIS yaliyofanyika kwenye ukumbi wa chuo hicho.


Amesema kuwa mifumo hiyo imekuja kutokana na maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye alielekeza aina ya utumishi wa Umma unaohitajika na kutambua kwa urahisi namna watumishi wanavyotekeleza majukumu yao ya kila siku baada ya mfumo wa awali uliokuwa unatumika wa OPRAS kuonekana kuwa na mapungufu kadha wa kadha.


“Mifumo hii ni muhimu sana kwa Serikali kutambua watumishi ambao hawawajibiki kwenye majukumu yao sambamba na kupata mrejesho wa utendaji kazi kupitia uwasilishaji wa taarifa kila baada ya muda flani, hivyo niwatake mzingatie yale mtakayofundishwa kwa manufaa ya Taifa zima kwa ujumla”. Amesisitiza Mhe. Kikwete.


Kwa upande wake katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu, David Lyamongi amesema kuwa zoezi hilo la kutoa mafunzo hayo linaendelea vizuri mkoani humo kwa wakuu wa Taasisi zenye makao makuu mkoani humo pamoja na wakuu wa Idara za Utumishi na Utawala bora.


Hata hivyo, Mkuu wa chuo hicho Dkt. Mussa Chacha ameahidi kuendelea kushirikiana na wataalam wanatoa mafunzo hayo ili kuhakikisha yanaleta manufaa huku akikiri kuwa mfumo huo utarahisisha upimaji utendaji kazi wa kila mtumishi kwa haki.


#arushafursalukuki

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa