• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MHE.KASSIM MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA JIJI NA WATUMISHI WENGINE WATANO.

Posted on: May 24th, 2022

Waziri mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa jiji la Arusha Dkt.John M.Pima kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhilifu na matumizi mabaya ya fedha za umma.

 Pia,Mheshimiwa Waziri Mkuu amewasimamisha kazi watumishi wengine watano wa Halmashauri hiyo akiwemo muweka hazina  Bi.Mariam Mshana, wachumi watatu Innocent Maduhu, Alex Tlehama, Nuru Ginana na Joel Mtango Afisa manunuzi Halmashauri ya Longido kupisha uchunguzi huo.

Mhe. Majaliwa amemwagiza Mkaguzi Mkuu wa Serikali CAG pamoja na kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Arusha kufanya uchunguzi wa kina wa matumizi hayo ya fedha na atakae bainika hajahusika atarudishwa kazini na atakaebainika amehusika hatua zaidi zitachukuliwa.

Aidha, amewasihi watumishi wote wa umma kufanya kazi kwa ushirikiano na kuboresha mahusiano baina yao ili kuongeza ufanisi zaidi kazini.

Amewataka watumishi wa umma kutoa huduma bora kwa wananchi yenye staha na unyenyekevu kwani hayo ndio maelekezo ya Serikali.

Amesisitiza pia,kuwe na uwazi wa mapato na matumizi ya fedha za Halmashauri ili kujenga uwelewa wa pamoja kwa madiwani na watendaji.


Mhe. Majaliwa amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Mkoani Arusha na ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa jengo la ufundi katika chuo cha ufundi Arusha na amekagua masoko manne ya Machinga.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MONGELLA AWATAKA WAKANDARASI WA UMEME KUWASILISHA MIPANGO KAZI YAO.

    January 28, 2023
  • KUMBUKIZI YA SIKU YAKUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2023
  • MAFANIKIO SEKTA YA ELIMU ARUSHA YAWA KIVUTIO KWA MAAFISA ELIMU KAGERA

    December 29, 2022
  • MPANGO WA m- mama WAZINDULIWA

    December 19, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa