• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MILA NA DESTURI ZINAZOCHOCHEA UKATILI WA KIJINSIA HAZITAKIBALIKA

Posted on: December 10th, 2022

"Serikali haipingi mila na desturi bali haitafumbia macho zile mila na desturi zinazoleta ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto".

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Musa katika kilele cha siku 16 za maadhimisho ya kupinga ukatili wa kijinsia  kwa wanawake na watoto, Jijini Arusha.

Matukio ya ukatili wa wanawake na watoto bado yapo sana katika Mkoa wa Arusha kwani kwa mwaka 2021/2022 jumla ya matukio 4705 yalilipotiwa na kati yake matukio 4013 yalikuwa ya wanawake na 692 ni wanaume na ndani yake yakiwepo ya watoto.

Katika mwaka 2019 jumla ya matukio 2339 yalilipotiwa ikiwa ni pungufu ya yale ya mwaka 2022 ambayo yalikuwa 4706 na hii imetokana na watu kupata uelewa wa kitoa taarifa juu ya matendo hayo ya ukatili.

" Naziagiza kamati za MTAKUWA kuanzia ngazi ya vijiji hadi halmashauri zifanye kazi  na kila halmashauri ianzishe kituo cha Mkono kwa Mkono kwenye hospitali za Wilaya ili kuhakikisha vitendo vya ukatili vinatokomezwa', alisema.

Kwa upande wake afisa ustawi wa jamii Mkoa wa Arusha, Denis Mgiye amesema vitendo vya ukali vinavyoongoza ni ukatili wa kimwili,kisaikolojia,kingono, mimba na ndoa za utotoni, ukeketaji na kushindwa kutoa malezi kwa watoto.

Hata hivyo, amewahasa wanaume kujitokeza kwa wingi kutoa taarifa za ukatili wa kijinsia kwani wameonekana wapo nyuma wakati vitendo vya ukali wanafanyiwa.

Nae, Afisa ustawi wa jamii kutoka kituo cha Mkono kwa Mkono cha hospitali ya Mt.Meru Daniel Kasikiwe amesema wahanga wengi wamejitokeza kutoa taarifa za ukatili na hiyo imewezekana baada ya elimu kuendelea kuwafikia wananchi.

Aidha, amesema bado kuna changamoto ya wahanga kuchelewa kutoa taarifa ndani ya masaa 72 na hivyo kusababisha kupotea kwa ushahidi na baadhi ya wahanga kutotoa ushahidi pindi kesi inapofika mahakamani.

Maadhimisho ya kupinga ukatili wa kijinsia na watoto yalianza Novemba 27 na yamemalizika Disemba 10 katika Mkoa wa Arusha ambapo utoaji wa elimu ulifanyika katika kila halmashauri kwa kupita kwenye mashule, vyuo na makundi mbalimbali ya wananchi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa