• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

Posted on: May 25th, 2025

Mkoa wa Arusha umechaguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa 33 wa mwaka wa Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Mkutano unaotarajiwa kufanyika tarehe 26 hadi 31 Mei 2025, na utawakutanisha viongozi wa kijeshi kutoka nchi zaidi ya kumi na tano za ukanda wa SADC.


Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 25, 2025 katika ofisi za Mkoa wa Arusha, Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Paul Christian Makonda amesema kuwa Arusha imeendelea kuwa kinara wa mikutano ya kitaifa na kimataifa, pamoja na kuwa kitovu cha shughuli za utalii zinazochochea uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla akibainisha kuwa mkutano huo ni fursa nyingine muhimu kwa mkoa kuonyesha uwezo wake katika kutoa huduma bora kwa wageni wa kimataifa.


Mhe. Makonda ameeleza kuwa mafanikio haya yanatokana na juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ambaye ameendelea kudumisha amani na utulivu nchini, hali inayowavutia watalii na wawekezaji wengi kufika katika mkoa huo Arusha na kusisitiza kuwa mazingira ya utulivu ndiyo msingi wa maendeleo na kuvutia shughuli kubwa kama hizi za kimataifa.


Aidha, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob Mkunda, ambaye ndiye mwenyekiti wa mkutano huo, ataongoza majadiliano yatakayolenga kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na usalama wa kikanda na watapata fursa ya kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii katika Mkoa wa Arusha

ambapo watoa huduma katika sekta zote wametakiwa kuonyesha ukarimu na utoaji wa huduma bora ili kuchochea uchumi kupitia fursa zitakazotokana na mkutano huo.


Katika hatua nyingine, Mhe. Makonda amewatoa hofu wananchi kuhusu uwepo wa magari na majeshi katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo, akibainisha kuwa hayo ni maandalizi ya kawaida ya kuhakikisha ulinzi na usalama wa mkutano huo muhimu na kutoa rai kwa wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya usalama kwa utulivu na amani.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa