• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI WA UN WOMEN NA RC MAKONDA, WAJADILI USHIRIKIANO KATIKA MASUALA YA KIJINSIA

Posted on: January 22nd, 2025

Mkurugenzi wa Nchi wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wanawake (UN Women), Hodan Addou, amefanya ziara Mkoani Arusha ambapo amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, kujadili masuala muhimu yanayohusu usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika masuala ya kiuchumi.



Katika mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa huo leo tarehe 22 Januari, 2024, Mhe. Makonda amesema kuwa, Mkoa wa Arusha umekuwa ukiendesha shughuli za kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na kuzuia masuala ya ukatili wa Kijinsia kwa wanawake na Watoto na uhamasishaji wa wanawake kushiriki katika masuala ya Uongozi wa ngazi mbalimbali.



Mhe. Makonda ameongeza kuwa, Kupitia Mradi wa UN WOMEN ujulikanao kama WLER “Strengthening Women And Girls’ Meaningful Participation, Leadership, And Economic Rights”.  Ulionufaisha Halmashauri tatu (3) za Mkoa wa Arusha wanawake wamekuwa wakipatiwa elimu kuhusu masuala ya kiuchumi na kutojihusisha na mikopo umiza badala yake kutumia fursa ya Mikopo isiyo na riba ya 10% inayotolewa kwenye Halmashauri zote Nchini.



“Tuna dhamira ya kuhakikisha kuwa wanawake na wasichana wa Arusha wanapewa nafasi za kiuchumi, kijamii, na elimu. Tunaamini kuwa kwa kushirikiana na UN Women, tunaweza kufanya mabadiliko makubwa,” amesema Mhe. Makonda.



Kwa upande wake Mkurugenzi Hodan Addou amesema kuwa UN Women imekuwa ikifanya kazi kwa karibu na Serikali katika kuhakikisha kuwa wanawake wanapata nafasi sawa katika sekta zote za maendeleo na kusisitiza umuhimu wa kushirikiana katika mipango ya maendeleo jumuishi inayozingatia mahitaji ya wanawake vijijini na wale walioko katika mazingira magumu.



“Uwezeshaji wa wanawake si tu suala la haki za binadamu bali ni msingi wa maendeleo endelevu na tunafurahi kuona Mkoa wa Arusha ukichukua hatua madhubuti katika kusimamia usawa wa kijinsia,” amesema Bi. Addou.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa