• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MRADI WA UWEZESHAJI VIJANA KIUCHUMI KIKUNDI CHA VIJANA AGRI - GENIUS

Posted on: July 20th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava ametembelea na kukagua mradi wa uwezeshaji vijana Kiuchumi Kikundi cha Vijana cha Agri - Genius, mradi wenye thamani ya shillings milioni 32. 


Mradi huo wa vijana, waliopata mkopo wa shilingi milioni 30  kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Vijana, wanaojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji na mazao cha mbogamboga na matunda, walianza mradi huo kwa shilingi milioni 2. 


Katika mradi huo, Ndugu, Mnzava licha ya kuridhishwa na shughuli zinazofanywa na vijana hao, amewapongeza kwa kuwa wazalendo wa kulitumikia Taifa lao na kuwataka kuongeza juhudi katika kazi zao na kuwa mfano na vijana wengine.


"Taifa letu linawategemea vijana katika kusukuma gurudumu la amendelea, nyie ni vijana wa mfano, kazi mnazozifanya wahimizeni na vijana wenzenu kufanyakazi hasa za kujiajiri" Amesema Mnzava.


Aidha amewaagiza Maafisa Maemdeleo ya Jamii na Maafisa Biashara kuwasaidia vijana wanaojiajiri katika shughuli za kilimo kuondolewa vikwazo pale wanaposafirisha mazao yao ndani na nje ya nchi kama kuna vibali wapewe mapema ili waweze kufanya shughuli zao kwa urahisi ili biashara zao ziweze kuwa za kimataifa na kupiga hatua zaidi.


"Niwasihi vijana kuacha kukaa vijiweni badala yake kujiajiri kwa kubuni biashara ndogondogo ili kutumia fursa ya kupata mikopo isiyo na riba na ile ya Ofisi ya Waziri Mkuu inayotolewa na Serikali, Serikali ina mikakati ya kuwawezesha vijana kiucbumi hivyo vijana acheni kulalamika tumieni fursa hizo kujiajiri" Amesema


Akisoma taarifa ya mradi huo, Mwenyekiti wa Kikundi, Godfrey Rogath, ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mkakati imara wa kuwawezesha vijana kiuchumi kwa kutoa mikopo ambayo inawapa fursa vijana kujiajiri na kujiinua kiuchumi.


"Mkopo huu umetuwezesha kuongeza mtaji wetu kutoka milioni 2 na kufikia milioni 32 mpaka sasa, baada y kupata mkopo wa milioni 32, tumeweza kujenga kitalu nyumba, kuongeza eneo la kilimo kutoka heka 1 na kufikia Heka 4"


Ameongeza kuwa Mkopo huo umewawezesha vijana kujiajiri na kuweza kujipatia kipato na kuajiri vijana wengine na kuwa mfano kwa vijanza wenzao wanaokuja kujifunza shughuli za kilimo.


Awali kikundi hicho chenye wanachama watano kilinza mwaka 2022 na kusajiliwa kwa namba ARU/ ARU/VIJ/2022/20247.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa