• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MTUME BONIFACE MWAMPOSA AMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA ARUSHA KWA MAZUNGUMZO MAFUPI.....

Posted on: October 27th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mtumishi wa Mungu Mtume Boniface Godwin Mwamposa amefika kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa Mhe. John V.K. Mongella leo 27.10.2023.


Licha ya Kusaini kitabu cha wageni, Mtume Mwamposa amemueleza mkuu wa mkoa wa Arusha kuwa,  yuko mkoani hapo kwa ajili ya huduma ya Mkutano neno la Mungu kwa muda wa siku tatu, unaokwenda kwa jina la 'Washa Taa, unaofanyika eneo la Kisongo karibu na uwanja wa Ndege Arusha.


Mtume Mwamposa ameshukuru kuwepo mkoani Arusha na zaidi kushukuru kwa kukutana na Mkuu wa mkoa huyo, ambaye amekiri kuwa amefanyika baraka katika mkoa huo kutokana na Mamlaka aliyopewa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.


"Sisi watumishi wa Mungu tunaamini Mamlaka zote zinatoka kwa Mungu, hivyo Mkuu wa mkoa Mhe. Mongella ni Mamlaka ya Mungu, ninakutakia Baraka wewe na wananchi wote wa mkoa wa Arusha, huduma ya Washa Taa inakwenda kumulika mkoa wa Arusha na wananchi wake wote" Ameomba Mtume


Hata hivyo Mhe, Mongella amemkaribisha Mtume Mwamposa kwa kumuhakikishia hali ya amani, utulivu na usalama, na kuongeza kuwa Serikali inatambua na kuthamini kazi kubwa inayofanywa na watumishi wa Mungu, hususani huduma ya 'Rise & Shine' inayosimamiwa na Mtume Mwambosa.


Amefafanua kuwa, Mheshimwa Rais amesisitiza kutoa ushirikiano kwa watumishi Mungu wanaotoa huduma za Kiroho, kwa kuwa huduma hizo licha ya kuwaponya wananchi kiroho inahamasisha na kuchochea maendeleo ya nchi kwa kusisitiza kila mtu kufanya kazi kama yalivyo maandiko matakatifu.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa