• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

"MWANAFAMILIA WA LAND ROVER KARIBU ARUSHA TUANDIKISHE REKODI MPYA YA DUNIA"- RC MAKONDA

Posted on: September 27th, 2024


Mbele ya wanahabari Jijini Arusha leo Jumatatu Septemba 23, 2024, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amesema takribani nchi 9 kutoka Barani Afrika zimethibitisha kushiriki kwenye Land rover Festival 2024 inayotarajiwa kufanyika Oktoba 12-14 mwaka huu.



Mhe. Makonda amesema maandalizi ya tamasha hilo yamekamilika kwa zaidi ya asilimia 80 na kuendelea kutoa wito kwa wanafamilia ya Land Rover kuendelea kujisajili kwa wingi ili kuweza kuvunja rekodi iliyokuwa imeweka na Ujerumani kwa kuwa na msafara mkubwa zaidi wa magari aina ya Land Rover.



"Tuna ndoto kama Taifa ya kuvunja rekodi ya Guiness iliyoandikwa na Ujerumani kwa kuwa na magari 632, sisi mkoa wa Arusha tunataka kuwa na magari 1000. Kwa lugha nyepesi ni kwamba unapojisajili sio kwasababu tunataka tukutambue tu, tunataka tuvunje rekodi. Naomba tuendelee kujisajili ili uwe sehemu ya wavunja rekodi walioandika historia kwa kuwa na parade refu kuliko parade zote duniani za magari ya kampuni aina ya Land Rover." Amesema Mhe. Makonda.



Kulingana na maelezo ya Mhe. Makonda, Parade hiyo ya Matoleo yote ya Land Rover litakuwa na Urefu wa Kilomita zaidi ya 12 na washiriki wa Land Rover Festival 2024 watapata fursa pia ya kutalii bure kwenye hifadhi ya Taifa ya Arusha kwa kutumia magari yao huku pia kukitengwa maeneo mbalimbali ya kuburudika pamoja na maeneo kwaajili ya michezo ya watoto.



 _Kwa kujisajili na kwa maelezo zaidi wasiliana na waandaaji wa Land Rover Festival 2024 kupitia tovuti ya "landroverfestival.co.tz" au kwa simu namba +255682725555


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa