• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MWENYEKITI SABAYA AELEZA UMUHIMU WA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU ILIYOBORESHWA

Posted on: March 21st, 2024


Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha, Loy Thomas Ole Sabaya, akielezea umuhimu wa mkutano wa Halmashauri Kuu Iliyoboreshwa, unaofanyika mara baada ya Kamati ya Siasa kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM kwenye halmashauri za mkoa wa Arusha, leo Machi 21, 2024


Mwenyekiti Sabaya, ameweka wazi kuwa, Ofisi ya Chama mkoa wa Arusha, imeamua kuanzi Mkutano huo mara baada ya kukagua miradi ya maendeleo kwa lengo la kupata taarifa za miradi yote ya halmashauri husika kutoka ngazi ya Kata.


Amesema kuwa, katika mkutano huo, Maafisa Watendaji wa Kata, watawasilisha shughuli zote zinazofanyika kwenye kata zao, ikiwemo utekelezaji wa miradi ya amendeleo kwenye kata zao.


"Baada ya Kamati kukagua Miradi ya maendeleo, tunahitaji kupata taarifa kutoka kwenye kata, kila Afisa Mtendaji afahamu mira kwenye eneo lake, gharama ya mradi, chanzo cha fedha na muda wa utekelezaji wa miradi yote, pamoja na kuwasilisha changamoto zinazokabili eneo husika" Amesema Sabaya 


Mkutano huu, umefanyika kwenye hotel ya Ace Age, eneo la USA, umewakutanisha Kamati ya Siasa Mkoa, kamisaa wa Mkoa,  Kamati ya Siasa Wilaya ya Kichama ya Meru na Kamisaa wa wilaya, Viongozi wa chama ngazi ya kata, Maafisa Watendaji wa kata pamoja na watalamu timu ya menejimenti halmasahuri ya Meru na Sekretariet ya mkoa wa Arusha.


Awali, Mkutano huo ndio hitimisho la ziara ya Kamati ya Siasa mkoa wa Arusha ya kukague Utekelzaji wa Ilani ya CCM Mkoa kwa kipindi cha Julai - Decemba, 2023, ambapo imetembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwenye sekta ya Afya, Elimu na Miundombinu ya Barabara, kwenye wilaya sita na halmashauri saba za mkoa wa Arusha ambazo ni Jiji la Arusha, Halmasahuri ya Arusha, Longido, Karatu,Meru Monduli na Ngorongoro.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa