• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NENDENI MKAWE WAZALENDO,WAADILIFU NA MFANYEKAZI KWA WEREDI-RC MONGELLA

Posted on: July 26th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amewataka wakufunzi wa sensa kuwa wazalendo, waadilifu na kufanya kazi kwa weredi katika zoezi la kutoa mafunzo ya sensa.

Ameyasema hayo alipokuwa akifunga mafunzo ya wakufunzi wa sensa kwa Mkoa wa Arusha yaliyofanyika Jijini Arusha.

Zoezi la sensa ni muhimu kwani litasaidia kupata taarifa ya msingi kwa maendeleo ya Taifa.

Aidha, Mhe.Mongella amesisitiza kuwa mipango makini inaendana na idadi ya watu.

Pia, zoezi hili litaenda kutengeneza msingi na mstakabali wa maendeleo ya  Mkoa na nchi kwa ujumla.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha bwana Zelothe Steven, amewahasa wakufunzi hao kuwa wamebeba dhamana ya Mkoa hivyo wakaufanye Mkoa kuwa kinara.

Nae, Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha bwana Said Mabie amesema changamoto kubwa ya watu wa mipango ni kutokuwa na data safi zitakazowasaidia kuweka mipango sahihi kulingana na mahitaji.

Hivyo kupitia sensa ya mwaka huu idara ya mipango itaweza kuweka mipango inayotekelezeka zaidi.

Akielezea hali ya mafunzo hayo  Mkufunzi Mkuu wa mafunzo hayo bwana Mdoka Omary amesema kwa Mkoa wa Arusha jumla ya wakufunzi 399 wamepatiwa mafunzo ya sensa kwa ajili ya kufundisha makalani wa sensa katika kila halmashauri.

Amesema pia, mafunzo hayo yamefanyika takribani kwa wiki 3 ikijumuisha watumishi kutoka ngazi ya halmshauri na Mkoa, watu wenye ulemavu na taasisi binafsi za Mkoa wa Arusha.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MONGELLA AWATAKA WAKANDARASI WA UMEME KUWASILISHA MIPANGO KAZI YAO.

    January 28, 2023
  • KUMBUKIZI YA SIKU YAKUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2023
  • MAFANIKIO SEKTA YA ELIMU ARUSHA YAWA KIVUTIO KWA MAAFISA ELIMU KAGERA

    December 29, 2022
  • MPANGO WA m- mama WAZINDULIWA

    December 19, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa