• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ONGEZEKO LA MISHAHARA NI FURSA YA KUIMARISHA UWAJIBIKAJI SERIKALINI - WAZIRI MCHENGERWA

Posted on: May 2nd, 2025

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema ongezeko la asilimia 35.1 la kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma lililotangazwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni ishara ya wazi ya dhamira ya Serikali kuboresha maslahi ya watumishi na kuwataka watumishi kuongeza tija na uadilifu katika kazi zao.



Akizungumza Mei 2, 2025 na watumishi wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Mchengerwa amesema kuwa Wizara yake inasimamia zaidi ya asilimia 76 ya watumishi wote serikalini, hivyo ni muhimu kwao kuonyesha uzalendo kwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kusaidia katika kukuza uchumi wa nchi.



Aidha, ameeleza kuwa hatua ya Rais Samia imeifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika zilizotoa ongezeko kubwa la mishahara kwa watumishi wake, akisisitiza kuwa hiyo ni fursa adimu inayopaswa kutumiwa kwa kuwajibika kikamilifu.



Hata hivyo, amewataka wataalamu wa serikali katika Halmashauri zote kutumia mabaraza ya madiwani kuendeleza mijadala ya maendeleo badala ya siasa zisizo na tija, huku akiwaonya watumishi wasio waaminifu kubadilika kabla ya kuchukuliwa hatua kali za kisheria.



Akimpongeza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda, kwa ubunifu katika kusimamia maendeleo, Mhe. Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wa mikoa na halmashauri wanapaswa kuendelea kubuni vyanzo vipya vya mapato huku wakidhibiti mianya ya upotevu ili kujenga taifa imara lisilo tegemezi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa