• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

PROGRAMU YA IMARISHA UCHUMI NA MAMA SAMIA YATUA ARUSHA

Posted on: August 20th, 2024

Na Elinipa Lupembe 


Ujumbe wa Program ya imarisha uchumi wa Mama Samia inayohusisha makundi ya Wanawake, Vijana na watu wenye mahitaji maalum, ikiongozwa na Mshauri wa Rais Masuala ya wanawake, vijana na makundi maalum Sophia Mjema na kukukutana na makundi ya wanawake, kwenye Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha Agosti 20, 2024.


Ujumbe huo, umewakutanisha makundi hayo kwa  lengo la kupeana fursa mbalimbali za kibiashara na kuboresha uchumi wao kupitia program maalum ya mikopo isiyokuwa na riba.


Akizungumza na wanawake hao, Sophia ameyataka makundi hayo, kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo Mkoani humo, huku akiwatambulisha programu mpya ya kitaifa ya Imarisha Uchumi na Mama Samia.


Ameongeza kuwa, timu hiyo inazunguka Tanzania nzima kutambua majukwa ya uwezeshaji wanawake kiuchumi kuanzia ngazi ya kata, wilaya na mkoa ili kujione namna mamlaka za Serikali zinawawezesha kiuchumi kama yalivyo malengo ya Jukwaa.


"Kutakuwa na utaratibu wa kujiorodhesha kwenye kanzu data ya kuwatambua mahali vikundi vilipo, jinsi ya kuvifikia pamoja na kutambua shughuli zinazofanywa na vikundi na majukwaa hayo" Amesema Sophia


Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji wanawake kiuchumi Beng'i Issa amesema kuwa lengo la programu hiyo ni kubaini changamoto zinazowakabili wafanyabiashara na wajasiriamali hao, ili kuwa na mkakati wa kuleta suluhisho la changamoto hizo na kuwainua kiuchumi.


Aidha, amewataka wanawake wa mkoa wa Arusha kuchangamkia fursa ya utalii ambao ndio uchumi wa mkoa huo, kwa kuwahimiza kujiingiza kwenye soko la utalii wa mikutano ambao umekuwa kwa kasi Arusha.


Hata hivyo wajasiriamali hao wamelalamikia changamoto ya mitaji na soko na kuiomba Serikali kuwasaidi kutatua changamoto hizo ili kuingia kwenye ushindani na wafanyabiashara wakubwa.


Paulina Sayot Mjasiriamali kutoka wilaya ya Karatu ameomba kuwepo na utaratibu wa watalii kupita kwenye biashara zao ili nao waweze kufanya biashara na watalii kama ilivyo kwa wafanyabiashara wakubwa.


Naye Shamimu Msangi amesema kuwa, licha ya kendelea kupambana na changamoto za masoko lakini pia ukosefu wa mtaji wa kutosha na maeneo maalum ya kufanyia biashara bado ni changamoto hivyo ujio wa programu hiyo utawakamboa wajasiriamali wengi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa