• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RAIS SAMIA ATOA BILIONI 13.5 KUTEKELEZA MRADI WA MAJI SAFI SINYA - NAMANGA

Posted on: April 14th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo tarehe 14 April, 2015 ameshuhudia utiaji saini wa mradi mkubwa wa maji safi wa Sinya - Namanga wenye thamani ya shilingi bilioni 13.5katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Ildonyo, kata ya Sinya Wilaya ya Longido



Mhe. Makonda amesema kuwa hatua hiyo inaenda kufingua ukurasa mpya kwa wananchi wa maeneo hayo kwa kwani sasa watakuwa na matumaini ya kupata huduma ya maji kwa karibu.



Aidha, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. samia Suluhu Hassan kuwa kinara wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma za maji kwa kuwa yeye ni mama na anatambua changamoto wanazopitia akina mama ikiwemo kutembea umbali mrefu kufuata maji.



Hata hivyo amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi huo kutekeleza majukumu yake kwa wakati ili wananchi kupata huduma hiyo muhimu ndani ya muda walioahidiwa na viongozi wao sambamba na Wananchi kutokuwa kikwazo kwa mradi kutokukamilika kwa wakati kwa kutoa ushirikiano na kuwa waaminifu hasa kwa vijana watakaopata fursa ya ajira katika mradi huo.



Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira AUWSA Jiji la Arusha, Mhandisi Justine Rujomba, amesema kuwa Kwasasa Maji yanayozalishwa kutoka chanzo cha Mto simba kilichopo Wilaya ya Siha mkoani kilimanjaro ni lita milioni milion 1.7 ambapo mahitaji ni lita milioni 3.8 na Kisima ambacho kimechimbwa kwenye eneo hilo kina uwezo wa kuzalisha lita milioni 2.4 kwa siku na kufanya uzalishaji wa maji katika maeneo hayo kufikia wastani wa lita milioni 4.1 kwa siku.



Mradi huo unatekelezwa na kampuni ya Zongii construction limited na unatarajia kuhudumia wananchi zaidi ya elfu 37 huku mradi ukitarajiwa kukamilika mwezi juni 2027 na Wananchi wa eneo hilo watapewa kipaumbele cha kupata maji ndipo yasambazwe kwenye maeneo mengine.

May be an image of 3 people, dais and text that says 'JCPEBU mL CSUZ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAJI MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJI LA ARUSHA -AUWSA UTIAJI ANE AлИBHИ RUBerE MRADI AMA'

May be an image of 4 people, dais and text that says 'M'

May be an image of ‎1 person, dais and ‎text that says '‎MAMLAKA YA MAJIS الال LA HAFLA TIAJI SIM ILDO‎'‎‎

May be an image of 4 people, dais and text

May be an image of 6 people, dais and text

May be an image of 3 people

May be an image of one or more people, crowd and dais

May be an image of 4 people and text

May be an image of 4 people and text

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa