• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RAS ARUSHA ATAKA UANZISHWAJI WA BUSTANI NA VILABU VYA LISHE SHULENI.

Posted on: February 7th, 2025

katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Missaile Albano Musa amewataka wajumbe wa kikao cha lishe ngazi ya Mkoa, kufanya utekelezaji wa kuanzisha bustani pamoja na vilabu vya lishe kwenye shule zote za Mkoa huo ili kukabiliana na changamoto za lishe kwa watoto.



Ameyasema hayo wakati wa kikao cha kamati ya lishe Mkoa wa Arusha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika leo 07 januari, 2024 kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.



Katibu Tawala huyo, amesema kuwa kiashiria hicho kiwe kimepata mafanikio makubwa sana kwa asilimia mia moja katika kikao kitakachofuata na kama kutakuwa na changamoto yoyote ya kutoanzisha bustani na vilabu vya lishe iwasilishwe mapema ili kuchukua hatua.



Hata hivyo, amemtaka Afisa Elimu Mkoa wa Arusha, Sara Mlaki kufanya ufuatiliaji kwa wasambazaji wa unga na bidhaa mbalimbali zisizo na virutubisho shuleni kuwekewa marufuku.



Kwa upande wake Afisa lishe Mkoa wa Arusha, Dotto Milembe amesema kuwa, kupitia viashiria vinavyosimamiwa na mkataba wa Lishe, Mkoa umefanya vizuri kwa zaidi ya asilimia 90 licha ya kuwepo changamoto kwenye viashiria vitatu ikiwemo hiyo ya uanzishwaji wa bustani na vilabu vya Lishe.



Awali, Mkoa wa Arusha kwasasa unakabiliwa na changamoto ya ongezeko la watoto kuzaliwa na uzito mdogo pamoja na upungufu wa damu kwa akinamama huku mikakati ikiendelea ili kupunguza changamoto hiyo ikiwemo utoaji wa elimu kuhusu lishe bora.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa